Kupima HIV inahitaji moyo

Kupima HIV inahitaji moyo

Kwa hiyo watu huugua ninii???

ni kwamba hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi kwamba vvu wanasababisha ukimwi na unapopima hawapimi uwepo wa vvu ktk damu yako ila wanapima uwezo wa kinga yako dhidi ya vvu. Na wanapokuta kinga ipo chini unaambiwa una Hiv+ wakat kinga zinaweza kuwa zimeshuka kutokana na sababu nying kama msongo wa mawazo, unywaji pombe bila msosi, ukosefu wa maji safi na salama, ukosefu wa lishe bora n.k na tatizo linalowafanya weng waamin uwepo wa vvu ni mdororo wa afya ambao chanzo chake kikuu ni Arvs kwan zina madhara makubwa ambayo tunaambiwa ndio dalili na matokeo ya virus vya ukimwi na ndizo hupelekea vifo vya mamilion ya watu rpg Tamalisa Katavi
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha aisee, wangu alikuwa na hako kamchezo bwana, sasa mwaka jana ile naanza clinik nikamuomba twende akaleta excuses kibao, nikasema ngoja nimkomeshe. Nikaenda Hospitali, basi kila dk ananipigia anauliza eti vipi majibu!! Nikapima majibu kuja niko poa, basi nikazima sim afu nikapita kwa dadangu nikakaa hadi saa 4 usiku.

Jamaa alipunic ile mbaya! Nikarudi home nikajivisha sura ya huzuniiii! Basi ile kuniona tu na sura ya huzuni akajua kwisha habari yake! Nikaingia room kimya kimya bila hata salamu. Akaniuliza vipi wife mbona ulizima sim?Nikakaa kimya, akaendelea na maswali nikalipuka na kilio eti majibu sio mazuri.

Jamaa alinywea balaa, nikaonajasho linamtoka, kawasha feni mara kajipepea! Katoka nje hajielewi, mara kamwita first born wake, mwanaume kamasi jepesi hiloooo! Mara karudi home kaanza kulia nikamuuliza unalia nini kama ukimwi unao tayari daah! Baadae nikamuonea huruma nikamwambia ni uongo mana nilihisi alikuwa anatafta namna ya ku commit suicide. Wiki nzima mwili wake ulikuwa wa baridi kama mjusi.

Aisee nahisi ww ndie wife wangu maana alinifanyia hivyo, tofauti ni kuwa yy hakurudi saa4 usiku...but allactions is exactly the same...
 
ni kwamba hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi kwamba vvu wanasababisha ukimwi na unapopima hawapimi uwepo wa vvu ktk damu yako ila wanapima uwezo wa kinga yako dhidi ya vvu. Na wanapokuta kinga ipo chini unaambiwa una Hiv+ wakat kinga zinaweza kuwa zimeshuka kutokana na sababu nying kama msongo wa mawazo, unywaji pombe bila msosi, ukosefu wa maji safi na salama, ukosefu wa lishe bora n.k na tatizo linalowafanya weng waamin uwepo wa vvu ni mdororo wa afya ambao chanzo chake kikuu ni Arvs kwan zina madhara makubwa ambayo tunaambiwa ndio dalili na matokeo ya virus vya ukimwi na ndizo hupelekea vifo vya mamilion ya watu rpg Tamalisa Katavi

He he he Mr. Mangi aisee usinitanie aisee nambie nambie nini hapo mwisho tena
 
Mwaka jana mwezi wa nane nilienda kupima aiseee walivyokua wanaita majina ya waliotangulia mbele yangu nikashindwa kuvumilia nikakimbia lakini kesho yake nikaenda sehemu nyingine tukakutana watu kama wa 4 hivi tulifahamiana vizuri, yule aliekua anatoa ushauri alikua fresh sana charming hadi nikaona umuhimu wa kupima huyo dada yupo kilwa road hospitali ya polisi....daaah kweli kupima saa zingine mshauri ana nafasi yake
 
ni kwamba hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi kwamba vvu wanasababisha ukimwi na unapopima hawapimi uwepo wa vvu ktk damu yako ila wanapima uwezo wa kinga yako dhidi ya vvu. Na wanapokuta kinga ipo chini unaambiwa una Hiv+ wakat kinga zinaweza kuwa zimeshuka kutokana na sababu nying kama msongo wa mawazo, unywaji pombe bila msosi, ukosefu wa maji safi na salama, ukosefu wa lishe bora n.k na tatizo linalowafanya weng waamin uwepo wa vvu ni mdororo wa afya ambao chanzo chake kikuu ni Arvs kwan zina madhara makubwa ambayo tunaambiwa ndio dalili na matokeo ya virus vya ukimwi na ndizo hupelekea vifo vya mamilion ya watu rpg Tamalisa Katavi
Sasa nimeelewa asante sana
 
Aisee nahisi ww ndie wife wangu maana alinifanyia hivyo, tofauti ni kuwa yy hakurudi saa4 usiku...but allactions is exactly the same...
Hahahaaaaa, im not the one. By the way wangu hana habari na JF
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!
Huyo wako kakopi kwangu..........wyf akishapima na mimi hapohapo natake advantage
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!
Huyo wako kakopi kwangu..........wyf akishapima na mimi hapohapo natake advantage
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!

Huyu mwanamme kama ni MUME wako wa ndoa...ana hasara.
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!

Umenifurahisha sana aise aahahahaaa hivi bado unalo hilo lianamume?
 
He he he Mr. Mangi aisee usinitanie aisee nambie nambie nini hapo mwisho tena

we unaona masihara ila huu ni ukwel uliofichwa ila ipo siku kila mtu atajua ukweli japo kwa kuchelewa ila uvivu wa wengi wa kutosoma pengine hawatajua ila vitukuu wao watakuja jua.
 
we unaona masihara ila huu ni ukwel uliofichwa ila ipo siku kila mtu atajua ukweli japo kwa kuchelewa ila uvivu wa wengi wa kutosoma pengine hawatajua ila vitukuu wao watakuja jua.

Mhhhhhhhhh!
 
Back
Top Bottom