Kupima HIV inahitaji moyo

Kupima HIV inahitaji moyo

bagabe

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2014
Posts
540
Reaction score
670
Wajemeni katika vitu vigumu kufanya kwenye maisha ni kupima HIV/UKIMWI hasa ukiwa hujatulia michepuko mingi, miezi ya juzi kati nilifululiza kupiga papuchi, nilikaa kwa mda nikaona bora nikacheki afya yangu hospital.

Wakati nasubiri majibu nilikuwa natetemeka sana kwa woga hadi pale dokta aliponipa majibu yangu.
Je wewe ilikuaje ulipopima HIV kwa mara ya kwanza?
 
Dah!we iache hiyo siku kama ilivyo,kipindi kile napima kwa mara ya kwanza majibu yalikua yanachukua siku mbili,nikiwa nimebakiza wiki mbili nifunge ndoa na wife,nikajulishwa na pastor kwamba kiutaratibu lazima tupime,wakati huo actually nilikua sijiamini coz mtaani kulikua na demu ambae nimeishampitia na alikua na moto

si watu wakamtonya bamkwe ikabidi tulazimishwe kupima,tukapelekwa na pastor na vipimo alipaswa kuvifuata yeye,nawaambia that day sijaisahau kabisaaaa,imagine zimebaki wiki 2 mfunge ndoa afu unapimwa majibu yanakuja ndivyo sivyo weee!!!

Baada ya kutoa damu hosp nilifikia bar nikatwanga maji ili kuondoa mawazo but nimeprove ukiwa kwenye hard situation hata pombe haisaidii,nashukuru majibu yalitoka poa ila nilikua nimeumia sana,kusikie tu kupima kama wewe hujatulia.
 
Kweli ni kazi sana kupima kitu kisichokuwepo!
 
Inakupasa kuwajibika kwa kila ufanyacho...

Huwezi kulima maharage halafu utegemee kuvuna maboga...

Kama hukuwa wacheza salama, lazima uogope majibu...
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!
 
Wanaume wengi kupima kwao ni mtihani,mie wangu tunaenda wote ila ananisindikiza tu anaangalia majibu yakitoka linafurahia utafikiri limepima lenyewe eti ukipima mke wangu inatosha wewe ndo kipimo changu
Nlipoanza clinic ikabidi na yeye apime ha ha ha ha ha jamani njia nzima hakuongea mpaka kufika kanuna baada ya majibu lilichekaje sasa!!!

Umenikumbusha aisee, wangu alikuwa na hako kamchezo bwana, sasa mwaka jana ile naanza clinik nikamuomba twende akaleta excuses kibao, nikasema ngoja nimkomeshe. Nikaenda Hospitali, basi kila dk ananipigia anauliza eti vipi majibu!! Nikapima majibu kuja niko poa, basi nikazima sim afu nikapita kwa dadangu nikakaa hadi saa 4 usiku.

Jamaa alipunic ile mbaya! Nikarudi home nikajivisha sura ya huzuniiii! Basi ile kuniona tu na sura ya huzuni akajua kwisha habari yake! Nikaingia room kimya kimya bila hata salamu. Akaniuliza vipi wife mbona ulizima sim?Nikakaa kimya, akaendelea na maswali nikalipuka na kilio eti majibu sio mazuri.

Jamaa alinywea balaa, nikaonajasho linamtoka, kawasha feni mara kajipepea! Katoka nje hajielewi, mara kamwita first born wake, mwanaume kamasi jepesi hiloooo! Mara karudi home kaanza kulia nikamuuliza unalia nini kama ukimwi unao tayari daah! Baadae nikamuonea huruma nikamwambia ni uongo mana nilihisi alikuwa anatafta namna ya ku commit suicide. Wiki nzima mwili wake ulikuwa wa baridi kama mjusi.
 
Umenikumbusha aisee, wangu alikuwa na hako kamchezo bwana, sasa mwaka jana ile naanza clinik nikamuomba twende akaleta excuses kibao, nikasema ngoja nimkomeshe. Nikaenda Hospitali, basi kila dk ananipigia anauliza eti vipi majibu!! Nikapima majibu kuja niko poa, basi nikazima sim afu nikapita kwa dadangu nikakaa hadi saa 4 usiku.

Jamaa alipunic ile mbaya! Nikarudi home nikajivisha sura ya huzuniiii! Basi ile kuniona tu na sura ya huzuni akajua kwisha habari yake! Nikaingia room kimya kimya bila hata salamu. Akaniuliza vipi wife mbona ulizima sim?Nikakaa kimya, akaendelea na maswali nikalipuka na kilio eti majibu sio mazuri.

Jamaa alinywea balaa, nikaonajasho linamtoka, kawasha feni mara kajipepea! Katoka nje hajielewi, mara kamwita first born wake, mwanaume kamasi jepesi hiloooo! Mara karudi home kaanza kulia nikamuuliza unalia nini kama ukimwi unao tayari daah! Baadae nikamuonea huruma nikamwambia ni uongo mana nilihisi alikuwa anatafta namna ya ku commit suicide. Wiki nzima mwili wake ulikuwa wa baridi kama mjusi.
hahahahahaha umenichekesha sana,ukimwi unatisha nyie acheni tu \
 
Hhaaaa kwenye kupima utajiaminije wakati unaemuamini /anaekuamini ndie anaekumbukiza HIV?
 
Sijawahi kuogopa kupima maana nilikuwa lazima tupime ndo ku-do inafuata
 
Umenikumbusha aisee, wangu alikuwa na hako kamchezo bwana, sasa mwaka jana ile naanza clinik nikamuomba twende akaleta excuses kibao, nikasema ngoja nimkomeshe. Nikaenda Hospitali, basi kila dk ananipigia anauliza eti vipi majibu!! Nikapima majibu kuja niko poa, basi nikazima sim afu nikapita kwa dadangu nikakaa hadi saa 4 usiku.

Jamaa alipunic ile mbaya! Nikarudi home nikajivisha sura ya huzuniiii! Basi ile kuniona tu na sura ya huzuni akajua kwisha habari yake! Nikaingia room kimya kimya bila hata salamu. Akaniuliza vipi wife mbona ulizima sim?Nikakaa kimya, akaendelea na maswali nikalipuka na kilio eti majibu sio mazuri.

Jamaa alinywea balaa, nikaonajasho linamtoka, kawasha feni mara kajipepea! Katoka nje hajielewi, mara kamwita first born wake, mwanaume kamasi jepesi hiloooo! Mara karudi home kaanza kulia nikamuuliza unalia nini kama ukimwi unao tayari daah! Baadae nikamuonea huruma nikamwambia ni uongo mana nilihisi alikuwa anatafta namna ya ku commit suicide. Wiki nzima mwili wake ulikuwa wa baridi kama mjusi.
Mmmh, dadangu wewe na amu !! Nyie watu mnastahili tuzo sijui niwatunuku nini!! mmenipa furaha kicheko iliyojee!!
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha aisee, wangu alikuwa na hako kamchezo bwana, sasa mwaka jana ile naanza clinik nikamuomba twende akaleta excuses kibao, nikasema ngoja nimkomeshe. Nikaenda Hospitali, basi kila dk ananipigia anauliza eti vipi majibu!! Nikapima majibu kuja niko poa, basi nikazima sim afu nikapita kwa dadangu nikakaa hadi saa 4 usiku.

Jamaa alipunic ile mbaya! Nikarudi home nikajivisha sura ya huzuniiii! Basi ile kuniona tu na sura ya huzuni akajua kwisha habari yake! Nikaingia room kimya kimya bila hata salamu. Akaniuliza vipi wife mbona ulizima sim?Nikakaa kimya, akaendelea na maswali nikalipuka na kilio eti majibu sio mazuri.

Jamaa alinywea balaa, nikaonajasho linamtoka, kawasha feni mara kajipepea! Katoka nje hajielewi, mara kamwita first born wake, mwanaume kamasi jepesi hiloooo! Mara karudi home kaanza kulia nikamuuliza unalia nini kama ukimwi unao tayari daah! Baadae nikamuonea huruma nikamwambia ni uongo mana nilihisi alikuwa anatafta namna ya ku commit suicide. Wiki nzima mwili wake ulikuwa wa baridi kama mjusi.

Ha ha ha haaah me nilienda na waifu clinic kupima, ajabu yeye ndio alikuwa muoga kweli kupima. Ilibidi ifanyike kazi ya ziada kumshawishi ila hakutaka hata kuyasikia majibu.
 
Labda muache michepuko kwani waliopata ngoma walikua hawapimi?

Waambie kupima kabla hamjalalana si hoja hoja kumaintain status.
Juzi lishemeji langu moja lilevi hilo lilakesha bar kisa mke kapima majibu mazuri...
Wanaume na kupima balaa
 
Dah!we iache hiyo siku kama ilivyo,kipindi kile napima kwa mara ya kwanza majibu yalikua yanachukua siku mbili,nikiwa nimebakiza wiki mbili nifunge ndoa na wife,nikajulishwa na pastor kwamba kiutaratibu lazima tupime,wakati huo actually nilikua sijiamini coz mtaani kulikua na demu ambae nimeishampitia na alikua na moto

si watu wakamtonya bamkwe ikabidi tulazimishwe kupima,tukapelekwa na pastor na vipimo alipaswa kuvifuata yeye,nawaambia that day sijaisahau kabisaaaa,imagine zimebaki wiki 2 mfunge ndoa afu unapimwa majibu yanakuja ndivyo sivyo weee!!!

Baada ya kutoa damu hosp nilifikia bar nikatwanga maji ili kuondoa mawazo but nimeprove ukiwa kwenye hard situation hata pombe haisaidii,nashukuru majibu yalitoka poa ila nilikua nimeumia sana,kusikie tu kupima kama wewe hujatulia.
Hahaha nimecheka Sana ila hiyo party ya ukiumia Sana hata unywe vipi pombe haisaidiii ni kweli.
Kuna kipindi mtu unakunywa pombe asubuhi , mchana, jioni , usiku lakini wapi dadekiiii machungu yanakuwa palepale.
Everyone have some story to tell for sure.
 
Back
Top Bottom