syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,926
Habari zenu wadau
Niende kwenye lengo. Ninahitaj kwa anaefahamu jinsi ya Kupiga chini system ya Nokia Lumia ambayo window ake unafny kazi Kam window za kawaida Yaan 8.0 ila hii ni RT.
Hii window haikubar kuingiza program ambayo IPO nje ya store yao Kam ilivo kwenye simu za Lumia.
Msaada tafadhari
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Niende kwenye lengo. Ninahitaj kwa anaefahamu jinsi ya Kupiga chini system ya Nokia Lumia ambayo window ake unafny kazi Kam window za kawaida Yaan 8.0 ila hii ni RT.
Hii window haikubar kuingiza program ambayo IPO nje ya store yao Kam ilivo kwenye simu za Lumia.
Msaada tafadhari
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app