Kupendwa na usiyempenda .....!!

Kwahiyo kwenye maisha hakuna nafasi ya urafiki bila mapenzi.., na mtu akisema anakupenda alafu ukawa humpendi ndio unamkimbia..?, yaani hakuna nafasi ya urafiki kwa mtu anaekupenda..?, wewe umeshamwambia kwamba unae mwingine kosa lake la kutoku-move on sioni kwanini liwe kosa lako.

Asante kwa kunielewa, mara nyingi rafiki wa kweli ni yule anayekufahamu tangu unatembea peku kwenda shule hadi unapojua kuvaa high heels za kina steve maden. Marafiki wa ukubwabi ni strategic positioning kwa ajili ya maslah zaidi, so sikutaka kumpoteza kabisa sababu he would tell when am wrong or right honestly. Alinifahamu fika na ni mtu ambaye nilikuwa free kusema what i feel, hata mahusiano yangu ya kimapenzi aliyajua fika sababu niloweka wazi kabisa from day one.
 
Na ndio maana simlaumu kwa MURDER bali MANSLAUGHTER> Angalia mtoa mada mwenyewe amesema kile kifo kilikuwa kama kinaacha ujumbe gani kwake. Ujumbe ule alioachiwa mtoa mada unaonyesha kuwepo kwa mchango wake katika kifo (hata kama ni mchango mdogo kama punje ya haradari)

Mkuu since unataka kwenda kisheria ngoja twende kisheria...

Manslaughter ni kuua bila kukusudia; na kwenye case za kuua mara nyingi inabidi kuwa na overact na sio omissions, in rare cases of omissions inabidi kuwa na negligence na duty of care.., mfano Dr na Mgonjwa au mzazi na mtoto, ila mtu wa kawaida halazimishwi ku-take care mtu mwingine hata wewe kwenye pita pita zako ukikuta mtu anazama kwenye maji hakuna sheria inayokulazimisha kwenda kumuokoa..

Tukija kwenye case ya mleta hoja yeye mwenyewe anafeel guilty na kiubinadamu rafiki yako akipoteza maisha tena kama ulijaribu kuongea nae jana yake na unafeel kwamba labda haukuwa nae karibu kwenye matatizo lazima hii itakuuma,

lakini hata kama mleta mada angedhani yeye ndio causation ya yaliyotokea haifanyi kwamba yeye ndio cause..., Mfano wewe ukiwa una bunduki na unataka kumuua X na ukaenda na kumpiga risasi na ikagundulika baadae kwamba alishakufa kwa kunywa sumu wakati wewe unampiga risasi.., basi hapa wewe hautakuwa na hatia ya murder wala manslaughter... Point being mpaka wewe kuwa na hatia inabidi acts zako au omissions ziwe causation ya kile kifo.., jambo ambalo kwenye hii case halipo...
 
naomba ni-share na wanajamvi hiki kisa kinachonitesa kwa saa...
Hapo zamani za mwaka 1998 nikiwa nimemaliza fom 4 alitokea kijana mmoja akaniambia ananipenda, let me call him mr. X, wakati huo na yy alikuwa amemaliza fom 4. Tulisoma wote kuanzia darasa la kwanza alipofika la 5 akahamia bongo hadi aliporudi tukiwa tumemaliza fom 4 na straight akaniambia ananipenda. Nilimkataa sababu sikuwa tayari kuwa na mahusiano, nikaenda high school mkoa mwingine na yy akaenda shule lakini he kept in touch na kipindi hicho ilikuwa ni barua. Nikamaliza high school lakini yy ilibidi arudie mwaka lakini alijitahiti sana kurudi mkoani toka dar just to say hello to me.
Mie niliendelea chuo kikuu lakini kila siku alikuwa akiniambia how much he loved na ni kweli nilijua fika ananipenda lakini mie nilimwona as a friend and brother. Baadya ya kufika chuo nilipata kamjaa nikakapenda hadi tukapata mtoto na baadae tukaachana mwaka 2008. Mr hakujali akaniambia mie bado nakupenda mtoto so hoja, still sikuweza kumkubali. Baada ya masomo nilipata kazi dar nikamia hapa na yy akarudi mkoani tulikotoka ila mara kwa alikuja dar na kunitafuta na tulikuwa tunawasiliana almost kila siku. Mwaka jana akaniuliza kwani yy anatatizo gani for 11 years amekuwa akiniambia ananipenda na nimemkataa, na jibu langu ilikuwa nampenda as a friend and a brother. Na kweli nilikuwa nampenda sana japo sio kimahusiano ya mapenzi. Na nilikuwa nikienda kuona wazazi mkoa kitu cha kwanza ilikuwa ni kumtafuta kokote alipo, hiki kitu kilikuwa kinamuudhi sana mama yangu maana alikuwa akisema unakuja home hata kula huli unaenda kwa mr x akati sie tumekuandalia rasmi.
Mwaka huu mwezi wa 4 alipata misukosuko ambayo akashindwa kuibeba emotionaly sababu alinipigia akaniambia moyo umamwenda mbio for almost 2weeks, mie nikajua ni mshtuko wa yaliyompata na time will heel him. Kwa almost 8days nikawa sijampigia sababu ya kubanwa na majukumu and then 26 may night almost saa nne nikapokea sms toka kwake akiniambia kalazwa ghafla siku hiyo. Kwenye saa nne na robo usiku nikampigia japo hakuweza kuongea sana nikamwambia ntakupigia kesho pumzika wa sasa. And then mie nikalala, kesho yake asubuhi sana naambiwa he is no more, i almost fainted.
I felt guility maana ni kama vile alinifanyia 'I wont forget you even on my dying bed' maana alifariki saa tano na nusu usiku the same day.
Had leo inaniumiza sana nashindwa kujisamehe kwa kutompenda. One week ago nimeota tumeonana akawa anataka kunipelewa mahali nikamwambia ngoja nijiandae kabla sijamaliza kujiandaa nikaamka. Kumwambia dada angu akaniambia nimkemee sana sio vizuri ndoto za aina hii.
Jamani ukimpenda mtu akasema hakupendi elewa, just understand, it happens.


huna kosa na wala usiwe na wasiwasi. ktkt mawasiliano yenu hakuna ambapo uliwai kumuahidi kuwa utampa sex siku moja. umekuwa karibu naye kama rafiki wa kawaida. wewe huna kosa. isipokuwa kama dhamira yako ilikuwa inafikiria kumpa siku moja , na amekufa kabla hujampa labda useme kuwa bora ungempa mapema, kwa maana sasa hutamwona tena ktk ulimwengu wa udongo. kifo ni kifo tu, huenda hata ungemkubali hiyo 1998 bado angekufa kwa kifo cha msongo wa mawazo vilevile,

kuhusu kumuota usiku , hiyo ni mawazo yako tu, siyo yeye huko aliko. yeye kapumzika na hayajui tena ya huku kwa dunia ya udongo. kwakuwa unawaza juu ya hilo tukio mchana kutwa, ukilala ubongo unarudia yale ya mchana ktk staili ya ndoto. kwa sasa ili hilo la kuota usiku lisiendelee unatakiwa kujiweka bize, uwe na mambo mengi ya kufanya mchana, na unapolala ulale ukiwa umechoka , so utalala tu bila ndoto mbaya.kama huna kazi nyingi, bali unao marafiki wa karibu, wakati huu ndo uwatumie kuongea nao sana, hasa usiku mpaka ukatize mazungumzo kwa usingizi. itakusaidia
 
Asante kwa kunielewa, mara nyingi rafiki wa kweli ni yule anayekufahamu tangu unatembea peku kwenda shule hadi unapojua kuvaa high heels za kina steve maden. Marafiki wa ukubwabi ni strategic positioning kwa ajili ya maslah zaidi, so sikutaka kumpoteza kabisa sababu he would tell when am wrong or right honestly. Alinifahamu fika na ni mtu ambaye nilikuwa free kusema what i feel, hata mahusiano yangu ya kimapenzi aliyajua fika sababu niloweka wazi kabisa from day one.

Hapa wewe unacho-feel ni normal kwa kupoteza mtu wa karibu rafiki/kaka.., kwahiyo pole kwa hilo ila ukweli wa mambo ni kwamba hauna hatia yoyote even morally.., just cherish the good moments ulizokuwa nazo na huyo kaka na wala usimkumbuke kama mtu aliyekupenda kimapenzi bali kama kaka uliekuwa nae karibu na kusaidiana issue kama ndugu.

Hakuna kitu ambacho ungefanya ambacho kingerefusha maisha yake, na wala kifo chake hakikuwa (A Broken Heart).., Its just normal People Die
 
Sasa tia akili, akikutokea tena kwenye ndoto akakupenda tena ukikubali tu na wewe DEAD! Asubuhi yake wanakuzika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom