kupenda

kupenda

Korto

Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
76
Reaction score
22
Beka alikuwa anampenda sana bint mmoja ila alikuwa anaogopa kumwambia,siku moja kajikakamua akamuandikia mesegi "I love u,nijibu kwa hisia please" baada ya muda simu yake iliingia mesege,nguvu zilimwishia kutaka kujua kilichojibiwa,akaamua azime cm ili aisome siku iliyofuata labda angepata ujasiri wa kuisoma.

Siku iliyofuata akaamka mapema akafanya usafi wa nyumba nzima hadi watu wakamshangaa kisha akaoga,akala na kujipumzisha ili apate hamu na ujasiri wa kuisoma mesegi...daaaahhh...alipoifugua iliadikwa"hauna salio la kutosha kutumia huduma hii,piga *148*05# upate tigo niwezeshe..

Tigo express your self.
 
Mto umejaa kenge badala ya mamba.

Nipeni bunduki nikawinde nyuki.
 
Meseji za kufoadiana sizipendi zile.....mana ni chenga tupu
 
hahahaaaaaaaa, duh kwa hiyo hata ujumbe haukufika kwa mlengwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom