Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
Kwahiyo tukusaidieje maana umesimilia tu.Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
anyKwahiyo tukusaidieje maana umesimilia tu.
Umekutana naye mitandaoni?Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
Mimi siku zote nilikua najua wewe ni mwanamke.Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
ulitaka kunitongozaMimi siku zote nilikua najua wewe ni mwanamke.
Umekutana naye mitandaoni?
Atakuwa wa uswaz tu anakuaongopea mkikutana utajua kuwa alikuwa anakudanganya ndo maana hatak mkutane...
we mwaka wa pili et anabanwa kwani yeye ng'ombe wa maziwa hatoki kabisa zizini?
Huyu wa jamaa sio wakishua atakua kakutana vitoto vya fb vya uswaz vinajifanyaga vya kishua kageuza chartmateWatoto wa kishua nao shida! Kuna kaka mmoja alifosi kutaka kuoa mtoto wa kishua akati yeye hana mbele wala nyuma... Akamtia binti mimba, wazazi walipogundua wakamtoa binti yao mimba na kumpeleka nje kisoma. Wala hawakuongea na jamaa masikini!
Hapana mkuu, ni avatar yako na jinsi ulivyokua unaandika posts zako.ulitaka kunitongoza
una uhakika ayupo fb wala atumihi instagr yupo whatasap tuHuyu wa jamaa sio wakishua atakua kakutana vitoto vya fb vya uswaz vinajifanyaga vya kishua kageuza chartmate
Endelea kuchat naye wengine wanatumia.... we utabaki chartmate...una uhakika ayupo fb wala atumihi instagr yupo whatasap tu
ukipata nafasi mtie mimba
kutokana na sheria ya waziri mkuu
baba yake ataenda jela atakuwa free unamuoa