Kupenda mtoto wa kishua

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,658
Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
 
Avatar na unayoyaongea tofaut... Mwone DB mkubwa weweeee
 
Dah kuna demu wa kishua Nina mpenda ila mwaka wa pili sasa sijaonana naye tuna chat tu Lisa kwao awamruhusu kutembea peke yake wadau
Umekutana naye mitandaoni?
Atakuwa wa uswaz tu anakuaongopea mkikutana utajua kuwa alikuwa anakudanganya ndo maana hatak mkutane...
we mwaka wa pili et anabanwa kwani yeye ng'ombe wa maziwa hatoki kabisa zizini?
 
Umekutana naye mitandaoni?
Atakuwa wa uswaz tu anakuaongopea mkikutana utajua kuwa alikuwa anakudanganya ndo maana hatak mkutane...
we mwaka wa pili et anabanwa kwani yeye ng'ombe wa maziwa hatoki kabisa zizini?
 
Watoto wa kishua nao shida! Kuna kaka mmoja alifosi kutaka kuoa mtoto wa kishua akati yeye hana mbele wala nyuma... Akamtia binti mimba, wazazi walipogundua wakamtoa binti yao mimba na kumpeleka nje kisoma. Wala hawakuongea na jamaa masikini!
 
Watoto wa kishua nao shida! Kuna kaka mmoja alifosi kutaka kuoa mtoto wa kishua akati yeye hana mbele wala nyuma... Akamtia binti mimba, wazazi walipogundua wakamtoa binti yao mimba na kumpeleka nje kisoma. Wala hawakuongea na jamaa masikini!
Huyu wa jamaa sio wakishua atakua kakutana vitoto vya fb vya uswaz vinajifanyaga vya kishua kageuza chartmate
 
ukipata nafasi mtie mimba

kutokana na sheria ya waziri mkuu
baba yake ataenda jela atakuwa free unamuoa
be49a942bb79eba464b8446e2f502f68.jpg
 
Back
Top Bottom