Nawaza manzi unaempenda Sana akikuzngua unaweza kuchanganyikiwa.Oa unayempenda, hata akikukera upendo uta sawazisha, usiempenda hata aku peti vip utamuona anakutia njaa tu na atakuzidishia madhambi tu. Mana utamtendea vioja na michepuko kwa sana, sasa na wewe ukinikubali mimi kisa mi nimekupenda ila we hujanipenda ndezi ni wewe na mshnd ni mimi.
NB: Huo ni mtazamo tu kama mambo yamegoma na nimeangalia penye uafadhali kwangu kulingana na swali lako, ila mwanamke asienipenda sioi.
........love is very complicated thing.





Ugumu wake nini!??hata mimi nna shauku ya kujua..wadau waje.
haya mambo ni magumu.
very true!Kupendwa ni kero.![]()
Yana ugumu gani??? Shida mna agenda nyuma ya mapenzi vitu kama pesa, umaarufu, tamaa ni agenda kificho zinazovuruga agenda kuu na msingi ambayo ni KUPENDANA hapo ndipo michepuko uanzia, usalit na uzindaki kutokukubali hali fulani na hofu ya jamii itanionaje, ukishinda hofu hakika maisha yatakwenda murua kabisa.hata mimi nna shauku ya kujua..wadau waje.
haya mambo ni magumu.
It because u fall in love for no reason..very true!
Love has no reason!It because u fall in love for no reason..
May be to you.. Thats why u find it hard to stay in.Love has no reason!