balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,563
- 13,276
Habari zenu Wadau
Leo katika Habari za Biashara ITV nimesikia kuna kampuni moja inataka kuandika barua kuomba madini ya Tanzanite tuliyoyanunua kwa bei ghali zaidi na makubwa zaidi dunia nzima yaende USA kwenye maonesho. Yafutayo ndio niliyojiuliza
Mosi, Ingawa wazo ni zuri ila tunauhakika gani na madini hayo yaende huko kwa mabeberu na yaangaliwe yarudi bila ya wao kutuchezea rafu na hila zao?
Mbili, hakuna mtu asiejua kuwa madini yale yanathamani kubwa, sasa kwa baadhi ya viongozi wetu wanaonunulika kirahisi tuna uhakika gani kuwa hatutaangukia pua kwa kuletewa vioo vya rangi ile ya Tanzanite badala ya dini lenyewe?
Hivi ukirejea tu kwenye janga la Corona, wanashindwa vipi kuyatanzanite-Corona hayo madini?
Hili wazo siliafiki hata kidogo, kama hoja ni kuliangalia tu hilo dini la tanzanite tulilouziwa na 'leizer- mmasai' ni Bora wapelekewe video clip waangalie atakaelipenda aje hapa Tanzania alione alipie utalii ukue.
Nawakaribisha waungwana tuijenge nchi yetu
Nawasililisha!
Leo katika Habari za Biashara ITV nimesikia kuna kampuni moja inataka kuandika barua kuomba madini ya Tanzanite tuliyoyanunua kwa bei ghali zaidi na makubwa zaidi dunia nzima yaende USA kwenye maonesho. Yafutayo ndio niliyojiuliza
Mosi, Ingawa wazo ni zuri ila tunauhakika gani na madini hayo yaende huko kwa mabeberu na yaangaliwe yarudi bila ya wao kutuchezea rafu na hila zao?
Mbili, hakuna mtu asiejua kuwa madini yale yanathamani kubwa, sasa kwa baadhi ya viongozi wetu wanaonunulika kirahisi tuna uhakika gani kuwa hatutaangukia pua kwa kuletewa vioo vya rangi ile ya Tanzanite badala ya dini lenyewe?
Hivi ukirejea tu kwenye janga la Corona, wanashindwa vipi kuyatanzanite-Corona hayo madini?
Hili wazo siliafiki hata kidogo, kama hoja ni kuliangalia tu hilo dini la tanzanite tulilouziwa na 'leizer- mmasai' ni Bora wapelekewe video clip waangalie atakaelipenda aje hapa Tanzania alione alipie utalii ukue.
Nawakaribisha waungwana tuijenge nchi yetu
Nawasililisha!