kwanza ni lazima uelewe kuwa nitapatanisha wale ambao watakuja kwangu kupatanishwaBora hata ukauze madawa ya kulevya ikiwa umekosa kazi ya kufanya.hiyo taasisi unayotaka kuingilia ni ya watu wawili tu.namanisha huwezi kupatanisha watu ambao hawataki kupatana huna la kuwashauri huna la kuwafundisha huwezi kuwalazimisha wala kuwaomba etc.
nitakuwa nimejiandaaUtakuja kula makofi karibu yao ukafa .Ndoa ni taasisi ngumu hata wale wababe wenyewe wanaogopa
Hapo umejiandaa kukimbia aunitakuwa nimejiandaa
Unajua hili jambo sio kwamba ntakurupuka tu kulifanya,ni lazima kutakuwa na miongozo,mfano:Hapo umejiandaa kukimbia au
Usinitishe ili niache kusema ukweliKifuatacho itv, hivyo usi lalamike 😂😆
Watu tunaishi kwa vinyongo sana utapatanisha mchana usiku watu wanagombana.kweli?
Nafanya maandalizi ya kuanzisha mpango wa kupatanisha wanandoa,kwani magomvi miongoni mwao ni mengi sana na yanasababisha maafa mengi mno.Naomba mawazo yenu kuhusu jambo hili
Ni wazo zuri sana. Mpaka watu waamue kwa hiari yao kukufuata kwenye taasisi yako watakuwa na nia ya kupatana.Nafanya maandalizi ya kuanzisha mpango wa kupatanisha wanandoa,kwani magomvi miongoni mwao ni mengi sana na yanasababisha maafa mengi mno.Naomba mawazo yenu kuhusu jambo hili
wewe uta shuhudia na lazima urushe taulo😂😆Usinitishe ili niache kusema ukweli
tawireNi wazo zuri sana. Mpaka watu waamue kwa hiari yao kukufuata kwenye taasisi yako watakuwa na nia ya kupatana.
Kikubwa uwe na uelewa au elimu ya saikolojia pia na diplomasia. Sio lazima umesomea chuo, hata ya online.
Vile wazo limekujia, Unaweza na Inawezekana
nina wake 2 na nina miaka 35 ya ndoa- umeoa na una miaka mingapi kwenye ndoa?
najua lakini kupatanisha ni muhimuWatu tunaishi kwa vinyongo sana utapatanisha mchana usiku watu wanagombana.
Kagongwe na wewe kama unaweza🤭Infidelity ni chanzo kikuu cha ndoa kuwa na migogoro.
Waache Uzinzi full stop.
Mie ndio maana wapenzi wakija kuniomba ushauri jibu langu moja tuu. Achaneni.Hakuna kitu yenye ujinga mwingi kama kupatanisha watu wazima wanao lala bed moja tena wakiwa tupu...😶