Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,960
Mzungwa unachemsha unakunywa week moja kabla ya kuingia siku za hatari.......Pia mkunde pori unakunywa siku ukiwa kweny siku zako......Nlimfundisha mama hv alikua ni mwalimu alikua akitafuta mimba ya pili aliponea hvo sa hii anawatoto wawili kua na imani tu