Kupata mashine ya kufanya packaging

Kupata mashine ya kufanya packaging

azzurre

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
107
Reaction score
96
Hi all member,

Nimefanya utafiti wangu simple kwa ajili ya kujua biashara gani na weza kuingia na biashara hiyo ikawa na opportunity ya kukua (growth) kulingana na wateja niliowakusudia (target market), nimegundua wasindikizaji wadogo wengi wanapata tabu ya kuwa na product package nzuri na kama unavojua ubora wa bidhaa tu pekee yake unaweza ukakosa soko ikiwa package yake haipo vizuri.

Naomba kama kuna mtu anaweza kuniambia mashine gani (small size mashine) ambayo naweza kuinunua ambayo ikiniwezesha kufanya package kwa bizaa kama vile biscuti, tomato paste, boxes maker, siagi, nk ambayo ubora wake ulingane na kama vile almudhish tomato paste package nk.

Kama huijui hiyo mashine basi nieleze kampuni gani kwa Tanzania inatengeneza package na wapi naweza kuipata.

Ahsanteni
 
Una wazo zuri; ila unahitaji elimu ya kujua Zaidi;
unaposema packaging machine hapo unajichanganya;

Kuna packaging materials, kama chupa kwa ajili ya mango pickle, wine, juisi;
pia kuna packaging packets kama zile za kupack mlonge,
pia kuna packaging ya vitu kama karanga nk.

unachofanya wewe ni kusindika na kuifanya bidhaa yako iwe na viwango vya sokoni
kupitia tbs au tfda; baada ya hapo unapewa logo za ubora

baada ya hapo ndipo unapofanya packaging ukiwa na lebo yako tayari kuingiza bidhaa sokoni.
 
Una wazo zuri; ila unahitaji elimu ya kujua Zaidi;
unaposema packaging machine hapo unajichanganya;

Kuna packaging materials, kama chupa kwa ajili ya mango pickle, wine, juisi;
pia kuna packaging packets kama zile za kupack mlonge,
pia kuna packaging ya vitu kama karanga nk.

unachofanya wewe ni kusindika na kuifanya bidhaa yako iwe na viwango vya sokoni
kupitia tbs au tfda; baada ya hapo unapewa logo za ubora

baada ya hapo ndipo unapofanya packaging ukiwa na lebo yako tayari kuingiza bidhaa sokoni.
Kwahiyo mkuu unaanza kwanza kusindika, kisha uende TFDA/tbs then ndio utengeneze packaging? Mimi nilidhani kabla hujapeleke kokote unapaswa kuwa na packaging yake tayari. Na je nikitaka packaging materials nazipata wapi mkuu?
 
Mimi nina uza kwa oder machine zozote zile za packaging na material yake, unatakiwa ujue ni aina gani ya kusindika. Umeongea too general, kupack biscuit, kupack karanga, kupack siagi, kupack wine, kupack juice kupack matunda vyote vinatofautiana njia ya kuhifadhi na kupack, pia inategemea wewe project yako unataka kupack vipi ndipo uje kutafuta ni machine gani na methods zipi zitqkuwa rahisi kwa idea yako. Weka wazi unataka kupack nini then nitakueleza kila kitu na gharama zote pamoja na ushauri wa kitalaam kupack hiyo
 
Package material na mashine yakutumia hayo marerial.
 
Mimi nina uza kwa oder machine zozote zile za packaging na material yake, unatakiwa ujue ni aina gani ya kusindika. Umeongea too general, kupack biscuit, kupack karanga, kupack siagi, kupack wine, kupack juice kupack matunda vyote vinatofautiana njia ya kuhifadhi na kupack, pia inategemea wewe project yako unataka kupack vipi ndipo uje kutafuta ni machine gani na methods zipi zitqkuwa rahisi kwa idea yako. Weka wazi unataka kupack nini then nitakueleza kila kitu na gharama zote pamoja na ushauri wa kitalaam kupack hiyo
Mimi ninataka kupack tomato source kama wanavyo pack kampuni ya Almudhish
 
Tatizo wajasiriamali wengi wanapenda vitu vizur but hawapo tayar kuingia gharama
 
Tatizo wajasiriamali wengi wanapenda vitu vizur but hawapo tayar kuingia gharama
1469599691116.jpg

Ni mea attach pita ya mfano wa package method ambao ninamalengo nayo
 
Labda tu ili Nyanya isiharibike hapo hakuna mashine inayo mix madawa Na Nyanya?
Una wazo zuri; ila unahitaji elimu ya kujua Zaidi;
unaposema packaging machine hapo unajichanganya;

Kuna packaging materials, kama chupa kwa ajili ya mango pickle, wine, juisi;
pia kuna packaging packets kama zile za kupack mlonge,
pia kuna packaging ya vitu kama karanga nk.

unachofanya wewe ni kusindika na kuifanya bidhaa yako iwe na viwango vya sokoni
kupitia tbs au tfda; baada ya hapo unapewa logo za ubora

baada ya hapo ndipo unapofanya packaging ukiwa na lebo yako tayari kuingiza bidhaa sokoni.
 
Machine zote zipo, ni wewe unataka package ipi, halafu unataka methods ipi za kupreserve bidhaa yako. Namna za kutoharibika zipo nyingi, uratumia chemical?, au natural? Na kila aina ina life span yake, je soko lako linatakaje, yote hayo uyafikiri kabla ya kuamua unapack vip kwa njia zipi.
 
Back
Top Bottom