MOM EXER
New Member
- May 31, 2019
- 2
- 0
Naomba contact yako. Unapatikana wapi?Mimi ninataka kupack tomato source kama wanavyo pack kampuni ya Almudhish
Naomba contact yako. Unapatikana wapi?Mimi ninataka kupack tomato source kama wanavyo pack kampuni ya Almudhish
Baamany said nahitaji machine plzzzMimi nina uza kwa oder machine zozote zile za packaging na material yake, unatakiwa ujue ni aina gani ya kusindika. Umeongea too general, kupack biscuit, kupack karanga, kupack siagi, kupack wine, kupack juice kupack matunda vyote vinatofautiana njia ya kuhifadhi na kupack, pia inategemea wewe project yako unataka kupack vipi ndipo uje kutafuta ni machine gani na methods zipi zitqkuwa rahisi kwa idea yako. Weka wazi unataka kupack nini then nitakueleza kila kitu na gharama zote pamoja na ushauri wa kitalaam kupack hiyo
Mimi nataka packing ya Karanga BossMimi nina uza kwa oder machine zozote zile za packaging na material yake, unatakiwa ujue ni aina gani ya kusindika. Umeongea too general, kupack biscuit, kupack karanga, kupack siagi, kupack wine, kupack juice kupack matunda vyote vinatofautiana njia ya kuhifadhi na kupack, pia inategemea wewe project yako unataka kupack vipi ndipo uje kutafuta ni machine gani na methods zipi zitqkuwa rahisi kwa idea yako. Weka wazi unataka kupack nini then nitakueleza kila kitu na gharama zote pamoja na ushauri wa kitalaam kupack hiyo
Inapatikana wapi?Kwa Dar fika Kampuni ya Omar packaging
Opposite Sido, nyerere road kabla ujafika junction ya jet lumo. Ukipanda basi shuka kituo cha SidoInapatikana wapi?