babkaju3
Senior Member
- Mar 9, 2015
- 118
- 92
Habari wana Jamii naomba kufahamu kama kuna uwekano wa kujua mfanyakazi wa shirika, kampuni au mfanyakazi wa serikali anae tumia kadi ya afya ya NHIF kama kadi iyo ime beba watoto/wagemezi wangapi na majina yao... Asanteni nategemea majibu mazuri kutoka kwenu