Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Jamani mimi nashangaa kupanda kwa bei ya gesi ya kupikia kutoka 37000 mpaka 70000tsh
wakati tunaambiwa hii ni nishati mbadala ya kutunza mazingira badala ya kutumia mkaa au kuni.
Jamani mimi naomba tuchangie mwanzoni tuliambiwa serikali imepunguza kodi kwenye nishati hii ili tuache kukata miti
wakati tunaambiwa hii ni nishati mbadala ya kutunza mazingira badala ya kutumia mkaa au kuni.
Jamani mimi naomba tuchangie mwanzoni tuliambiwa serikali imepunguza kodi kwenye nishati hii ili tuache kukata miti