Kupanda daraja

Kupanda daraja

omukulu

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
50
Reaction score
6
Kumekuwa na sitofahamu kwa walioajiliwa jan 2011, hususani walimu wa sekondari kuhusiana na kupanda daraja, kwa yeyoye mwenye taarifa tujuzane.
 
Kisheria wanatakiwa wapande mwka 2015/2016 Watatoka TGTS D kwenda TGTS E, ila kumbuka kupandishwa kwa daraja kunategemeana na bajeti, Nidhamu, Tange na Umakini wa TSD na idara ya elimu ktk halmashauri husika.
 
je ni kweli kuwa walioajiriwa mwaka 2013 watapanda daraja mwaka huu 2016
 
Ndivyo official document zilivyostipulates
 
Hakuna kitu kinaboa kama kucheleweshwa kupanda madaraja,kila mwaka wanasema bajeti ndogo,si jui sheria waliweka za mini,hovyoooo!
 
je ni kweli kuwa walioajiriwa mwaka 2013 watapanda daraja mwaka huu 2016
Mm huwa hawaeleweki waweza kaa Haya miaka6,huku wakiwa hawasemi chochote,kisheria unatakiwa kupanda,2017,yaan mwakani,kupanda daraja ni
kila baada ya miaka3,kama unaanza kazi unakaa minne,mmoja was probation!
 
Back
Top Bottom