Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Habari wana Jf
Nahtaji kuongeza daraja la leseni yangu ya udereva,nahtaji class C3,hii niliyonayo ina Class A,A2,B,D,na G tu,sasa nahtaji C3 itanitosha,kwa anaejua naomba maelekezo jinsi ya kuipata,au kama kuna mdau anajua process mtu anamjua ani pm ili tuone tunaanzia wapi....Nitashukuru
Nahtaji kuongeza daraja la leseni yangu ya udereva,nahtaji class C3,hii niliyonayo ina Class A,A2,B,D,na G tu,sasa nahtaji C3 itanitosha,kwa anaejua naomba maelekezo jinsi ya kuipata,au kama kuna mdau anajua process mtu anamjua ani pm ili tuone tunaanzia wapi....Nitashukuru
