Kweli akikua ataacha..ila cha kushangaza kuna mingine mitu mizima kabisa sa unajiuliza litakua lini hili..halafu bora uongee ukiwa geto pekeako sasa mpo na masela mmelala jitu linaongea usenge wake..inaboa sana..ulimbukeni tu.Huo ni utoto mkubwa mno
Alfu hawanaga ata aibuKweli akikua ataacha..ila cha kushangaza kuna mingine mitu mizima kabisa sa unajiuliza litakua lini hili..halafu bora uongee ukiwa geto pekeako sasa mpo na masela mmelala jitu linaongea usenge wake..inaboa sana..ulimbukeni tu.
Embu lala uko ...[emoji2][emoji2][emoji2]Enzi zileeeeeeeeee
Ikifika Mida kama hii umetia vocha yako unaanza kumpigia demu wako apo mpaka Alfajiri
Hivi stori gani nzuri za kupiga usiku ili usichoke kuongea na simu Mara moja ???
Uliscore division ngap?Ktk mtihani Wa fom4 ckuwai kusoma ucku kila ucku nlikua naongea na cm mpaka saa Tisa cjui nlikua na pepo hua celew kabisaaa
Samani sijaelewa ulichokiandikaahaa utakosaje maneno? inategemea ila maongezi kwa wachumva ambao wako mbali lisaa love nwtisha. ahaaa wewe mpaka asubuhi?? kazin utaenda sa ngap?
Three ya mwishoUliscore division ngap?
Three ya mwishoUliscore division ngap?
Mbona unaguna mkuu kwamba nimedanganya au...?Mnhhh!!