Wabunge wanaposhindwa kujieleza kingereza,Je ni tatizo?
Nashauri kamati ya Bunge kushirikiana Britsh council kuandaa msasa kwa wabunge kuweza kujieleza vyema katika lugha husika.:confused3:
Kama walishindwa huko huko Secondary School na Vyuoni unategemea British watawasaidiaje?
Kimsingi hili ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania wasomi walio wengi. wengi tunajua kiingereza cha yale mambo tuliosoma tu lakini sio kiingereza kama communication language. Sasa tunapofikia mahala kiingereza ndio communication language kwa kweli ni mtihani, hii ni kuanzia kwa Rais hadi kwa wananchi wa kawaida.
ukweli unabakia kuwa Lugha kuijua na kuiongea inategemea na mapenzi ya mtu ya nia ya kujua na kuongea.
Mimi nimemudu kuongea kiingereza kizuri tu nikiwa shule ya msingi tena ya Serikali pale manispaa ya Arusha Themi shule ya Msingi. Nilipoingia O level Secondary pale ilikuwa ni fine tuning tu. baada ya hapo English kwa kwenda mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.