Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,073
Kufuatia kuondolewa kwa baadhi ya posho za vikao ktk idara mbalimbali za serikali kumezidi kuibomoa CCM kwani wafanyakazi wengi wanajutia kuichagua CCM na hivyo kuzidi kuibomoa CCM, hongera sana serikali yetu maana 2020 upinzani tunajizolea kura ki ulaini