Kuondolewa kwa posho za vikao ni pigo jipya kwa CCM

Kufuatia kuondolewa kwa baadhi ya posho za vikao ktk idara mbalimbali za serikali kumezidi kuibomoa CCM kwani wafanyakazi wengi wanajutia kuichagua CCM na hivyo kuzidi kuibomoa CCM, hongera sana serikali yetu maana 2020 upinzani tunajizolea kura ki ulaini

We jamaa wewe ni kanjanja,tena unasema alikuwepo wakati tamko linatolewa,ni sehemu ipi aliposema amefuta posho zote za vikao au watumishi wa umma,
Hii inadjihirisha kuwa hata jf makanjanja mpo,
Tafuta video yake rejea alichosema na RUDI upost upya humu
 
Hon PM endelea kufuta maposho posho baba, hata salary increaments futa rasmi maana ni karibu mwaka sasa hamna kitu, house allowances nazo fyekelea baba maana hakuna aliyezaliwa barabarani.
Hon PM usisahau na kule mjengoni ile miposho posho ya kukalia kiti tu masaa kidogo mtu ananyanyuka na laki mbili na ushee kila siku nayo pitisha fyekeo baba na ile sijui leaving allowance usiisahau na mbadala wake wapangie zile guest house zetu za 30,000Tshs per room per day.
Lazima tubane matumizi ili nchi iende aka isonge MBELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Kufuatia kuondolewa kwa baadhi ya posho za vikao ktk idara mbalimbali za serikali kumezidi kuibomoa CCM kwani wafanyakazi wengi wanajutia kuichagua CCM na hivyo kuzidi kuibomoa CCM, hongera sana serikali yetu maana 2020 upinzani tunajizolea kura ki ulaini
Kufuta posho zote ni kumnyima mfanyakazi haki zake kulingana na sheria za ILO shirika la kimataifa la wafanya kazi.

Kile kingeangaliwa si arbitrary suspension/ MTU anajiamlia tu "TUFUTE" bila kuangalia madhara yake.
Posho kama za hardhship allowance/ Posho za mazingira magumu haziko Tanzania tu bali hata katika nchi zetu za jirani.Serikali ingeangalia KWANZA ni zipi ZIFUTWE na ZIPI zibaki.
Si kufuta tu kiholela.

Kuna madhara yake. Na madhara yake ni kuwa na DEMORALIZED CIVIL SERVICE/Watumishi wa umma kufanya kazi wakiwa WAMEVUNJIKA MIOYO!!.
UFUJAJI wa fedha wa watu wachache usiwe kigezo cha kuwanyima haki ya WENGI waliowaaminifu!
 
Hon PM endelea kufuta maposho posho baba, hata salary increaments futa rasmi maana ni karibu mwaka sasa hamna kitu, house allowances nazo fyekelea baba maana hakuna aliyezaliwa barabarani.
Hon PM usisahau na kule mjengoni ile miposho posho ya kukalia kiti tu masaa kidogo mtu ananyanyuka na laki mbili na ushee kila siku nayo pitisha fyekeo baba na ile sijui leaving allowance usiisahau na mbadala wake wapangie zile guest house zetu za 30,000Tshs per room per day.
Lazima tubane matumizi ili nchi iende aka isonge MBELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Huko mjengoni sidhani kama atagusa maana Pana mhusu
 
Kufuta posho zote ni kumnyima mfanyakazi haki zake kulingana na sheria za ILO shirika la kimataifa la wafanya kazi.

Kile kingeangaliwa si arbitrary suspension/ MTU anajiamlia tu "TUFUTE" bila kuangalia madhara yake.
Posho kama za hardhship allowance/ Posho za mazingira magumu haziko Tanzania tu bali hata katika nchi zetu za jirani.Serikali ingeangalia KWANZA ni zipi ZIFUTWE na ZIPI zibaki.
Si kufuta tu kiholela.

Kuna madhara yake. Na madhara yake ni kuwa na DEMORALIZED CIVIL SERVICE/Watumishi wa umma kufanya kazi wakiwa WAMEVUNJIKA MIOYO!!.
UFUJAJI wa fedha wa watu wachache usiwe kigezo cha kuwanyima haki ya WENGI waliowaaminifu!
Hiyo watajua hao hao ILO
 
Tunataka chanel zile za bure zirudishwe la sivyo waturudishie analogia yetu maana antena bado tunazo. Hii ni laana na unyonyaji mkubwa kwa kutaka kuwakamua maskini wa nchi hii kila walichonacho.
 
Kufuta posho zote ni kumnyima mfanyakazi haki zake kulingana na sheria za ILO shirika la kimataifa la wafanya kazi.

Kile kingeangaliwa si arbitrary suspension/ MTU anajiamlia tu "TUFUTE" bila kuangalia madhara yake.
Posho kama za hardhship allowance/ Posho za mazingira magumu haziko Tanzania tu bali hata katika nchi zetu za jirani.Serikali ingeangalia KWANZA ni zipi ZIFUTWE na ZIPI zibaki.
Si kufuta tu kiholela.

Kuna madhara yake. Na madhara yake ni kuwa na DEMORALIZED CIVIL SERVICE/Watumishi wa umma kufanya kazi wakiwa WAMEVUNJIKA MIOYO!!.
UFUJAJI wa fedha wa watu wachache usiwe kigezo cha kuwanyima haki ya WENGI waliowaaminifu!
Hapa kazi tuuu
 
We jamaa wewe ni kanjanja,tena unasema alikuwepo wakati tamko linatolewa,ni sehemu ipi aliposema amefuta posho zote za vikao au watumishi wa umma,
Hii inadjihirisha kuwa hata jf makanjanja mpo,
Tafuta video yake rejea alichosema na RUDI upost upya humu
Punguza povu
 
Kufuatia kuondolewa kwa baadhi ya posho za vikao ktk idara mbalimbali za serikali kumezidi kuibomoa CCM kwani wafanyakazi wengi wanajutia kuichagua CCM na hivyo kuzidi kuibomoa CCM, hongera sana serikali yetu maana 2020 upinzani tunajizolea kura ki ulaini
Naunga mkono hoja mkuu.
Maana viongozi wengi wa serikali hasa wakuu wa idara na vitengo walikuwa makada wa zuri wa ccm,kwa sababu ya posho na sasa wamekata posho.(HILI NI ANGUKO KUBWA KWA CCM KWANI HAO WAKUU WA IDARA NDIO WALIKUWA MAA ARROW WA CHAGUZI ZA VIONGOZI.
 
CCM Wataiba kura na hamtawafanya kitu.

Tatizo lipo tume ya uchaguzi na katiba.
Ndio ukweli. Ninyi mnachagua na tume inatangaza, na kwa mujibu wa sheria, atakayetangazwa ndiye raisi na hamuwezi kupinga popote. Vigezo na masharti vya mapenzi ya tume huzingatiwa! Huo ndio ujasiri uliompa kiongozi mmoja wa CCM uchaguzi uliopita kusema kuwa hata kwa goli la mkono lazima CCM ishinde, na ikawa! Kwa Katiba hii na tume ya jinsi hii, wapinzani wataishia kwenye kampeni tu lakini ikulu katu!
 
Posho ya mazingira magumu wanalipwa mabosi ndani ya Dar es salaam wakati wauguzi wenzangu tulio huku kijijini Ng'washilalage Kwimba hatujawahi kusikia wala kuona hiyo posho! Bora ifutwe tu wote tuishi kama mashetani. Bites zangu hapa ni maboga na michembe wakati nyie mnatengewa 4 bil na point. Hata aibu hamuoni?
Hamia MJINI
 
Naunga mkono hoja mkuu.
Maana viongozi wengi wa serikali hasa wakuu wa idara na vitengo walikuwa makada wa zuri wa ccm,kwa sababu ya posho na sasa wamekata posho.(HILI NI ANGUKO KUBWA KWA CCM KWANI HAO WAKUU WA IDARA NDIO WALIKUWA MAA ARROW WA CHAGUZI ZA VIONGOZI.
Mkuu asante sana kwa kuligundua hilo
 
Back
Top Bottom