Kuombwa msaada ya kifedha na watu wengi

Kuombwa msaada ya kifedha na watu wengi

ni ngumu

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
4,292
Reaction score
7,207
Nikiri kwanza sipo Vizuri sana kwenye roho ya kikauzu.

Ndugu: Nikope laki tatu nimalizie Kodi.

Ndugu: Nimekwama mwanangu(sio mama mzazi) Sina kitu nichangie chochote.

Rafiki: Naomba elfu kumi nisogeze siku pesa yangu bado haijatoka.

Ndugu:Nina mpango wa kufungua biashara nitakucheki basi uniongezee mtaji usiache pokea simu yangu.

Rafiki: Nikope elfu 20000

Ndugu: Nikope laki 200,000 nitakupa.

Rafiki: Nikope elfu 20,000 nimekwama.

Rafiki: Nimekwama Kaka nicheki la ten.

Mpenzi: Simu yangu mbovu na mpango wa kununua nyingine pesa ya haijakamilika.

Ndani ya tarehe 4/6/2019 Hadi leo hii 9/6/2019. Nimepokea request hizo hapo juu za pesa, kiukweli napitia kipindi kizito sana cha kujifunza kusema Hapana maana sikuzaliwa na roho ya kusema Hapana watu wangu wa karibu wanapokuwa na shidA ila hii inaniwia vigumu Sana.

Hivi kwenye ulimwengu wa kiroho hii ina maana gani? Kuna mtu anakutana na situation kama hii kwenye maisha yake?

Mnaweza kupambana na hali hii??Nimekataa request nyingine sana hapo juu nyingine Ni za watu karibu Sana.

Mwezi uliopita nimekopa watu jumla ya laki 2 tena kwa kubalance mambo kweli kweli.

Note:Sina maisha magumu ila sio tajiri kiasi cha kuwa na uwezo wa kusaidia watu kiwango hicho hapo.
 
Nikiri kwanza sipo Vizuri sana kwenye roho ya kikauzu.

Ndugu:Nikope laki tatu nimalizie Kodi.

Ndugu:Nimekwama mwanangu(sio mama mzazi) Sina kitu nichangie chochote.

Rafiki:Naomba elfu kumi nisogeze siku pesa yangu bado haijatoka.

Ndugu:Nina mpango wa kufungua biashara nitakucheki basi uniongezee mtaji usiache pokea simu yangu.

Rafiki:Nikope elfu 20000

Ndugu:Nikope laki 200,000 nitakupa.

Rafiki:Nikope elfu 20,000 nimekwama.

Rafiki:Nimekwama Kaka nicheki la ten.

Mpenzi:Simu yangu mbovu na mpango wa kununua nyingine pesa ya haijakamilika.

Ndani ya tarehe 4/6/2019 Hadi leo hii 9/6/2019.Nimepokea request hizo hapo juu za pesa,kiukweli napitia kipindi kizito sana cha kujifunza kusema Hapana maana sikuzaliwa na roho ya kusema Hapana watu wangu wa karibu wanapokuwa na shidA ila hii inaniwia vigumu Sana.

Hivi kwenye ulimwengu wa kiroho hii ina maana gani?Kuna mtu anakutana na situation kama hii kwenye maisha yake?

Mnaweza kupambana na hali hii??Nimekataa request nyingine sana hapo juu nyingine Ni za watu karibu Sana.

Mwezi uliopita nimekopa watu jumla ya laki 2 tena kwa kubalance mambo kweli kweli.

Note:Sina maisha magumu ila sio tajiri kiasi cha kuwa na uwezo wa kusaidia watu kiwango hicho hapo.
Tuvumilie tu hata Sisi ndugu zako hatupendi kuomba ni shida tu zimetukaba
 
Nikiri kwanza sipo Vizuri sana kwenye roho ya kikauzu.

Ndugu:Nikope laki tatu nimalizie Kodi.

Ndugu:Nimekwama mwanangu(sio mama mzazi) Sina kitu nichangie chochote.

Rafiki:Naomba elfu kumi nisogeze siku pesa yangu bado haijatoka.

Ndugu:Nina mpango wa kufungua biashara nitakucheki basi uniongezee mtaji usiache pokea simu yangu.

Rafiki:Nikope elfu 20000

Ndugu:Nikope laki 200,000 nitakupa.

Rafiki:Nikope elfu 20,000 nimekwama.

Rafiki:Nimekwama Kaka nicheki la ten.

Mpenzi:Simu yangu mbovu na mpango wa kununua nyingine pesa ya haijakamilika.

Ndani ya tarehe 4/6/2019 Hadi leo hii 9/6/2019.Nimepokea request hizo hapo juu za pesa,kiukweli napitia kipindi kizito sana cha kujifunza kusema Hapana maana sikuzaliwa na roho ya kusema Hapana watu wangu wa karibu wanapokuwa na shidA ila hii inaniwia vigumu Sana.

Hivi kwenye ulimwengu wa kiroho hii ina maana gani?Kuna mtu anakutana na situation kama hii kwenye maisha yake?

Mnaweza kupambana na hali hii??Nimekataa request nyingine sana hapo juu nyingine Ni za watu karibu Sana.

Mwezi uliopita nimekopa watu jumla ya laki 2 tena kwa kubalance mambo kweli kweli.

Note:Sina maisha magumu ila sio tajiri kiasi cha kuwa na uwezo wa kusaidia watu kiwango hicho hapo.
Kama unakauwezo kadogo cha kusaidia ndugu na jamaa zako na roho hiyo unayo basi saidia tu ila kwa kiwango ambacho unaona hakita Kuathiri shughuli zako za kila siku..

Ndio maisha hayo ila Wema usizidi uwezo.
 
Ukitaka kurinda fedha zako kiroho uwe unakumbuka kurudisha 10% kwa mungu wako kwa mapato unayoingiza.. Hizo shida hazitakupata kamwe.
Siendi kanisani lakini natoa sadaka kila mwisho wa mwezi.Najua nguvu ya kutoa sadaka kwenye ulimwengu wa kiroho Ina maana gani.

Matajiri wenye wanatoa sadaka iwe kwa waganga au kwa maskini,why not me.
 
Ukitaka kurinda fedha zako kiroho uwe unakumbuka kurudisha 10% kwa mungu wako kwa mapato unayoingiza.. Hizo shida hazitakupata kamwe.
Kuna kipindi nilifululiza kuibiwa kuna mtu akaniambia inawezekana hutoi sadaka! Hakuwa mbali na ukweli,ila misaada ya hapa na pale natoa Ila 10% NO
 
Back
Top Bottom