nackia application kupitia nacte kwa vyuo vya serikali zinaanza mwez wa tano katikati. lakin kwa vyuo vya Prvat udahil unaendelea saivHabari wadau..
Nina ndugu yangu anataka asome Diploma ya Pharmacy/CO.. Mwakahuu.. Je Application zinaanza lini..
Pia Naomba na taarifa zingine za Muhimu ikibidi!
Asanteni!
Udahili kwa vyuo vya private na serikali huwa unaanza pamoja na kugungwa pamojanackia application kupitia nacte kwa vyuo vya serikali zinaanza mwez wa tano katikati. lakin kwa vyuo vya Prvat udahil unaendelea saiv