nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
swali lako inategemeana
waswahili au waafrika kuna kuoa na kuolewa
but wazungu hakuna hiyo,wanaoana
sasa wewe kama unataka usawa wa kizungu nayo ni tabu...
kiafrika ukiolewa unamsikiliza mumeo,unamtii....sio na wewe ulete amri zako
swali lako inategemeana
waswahili au waafrika kuna kuoa na kuolewa
but wazungu hakuna hiyo,wanaoana
sasa wewe kama unataka usawa wa kizungu nayo ni tabu...
kiafrika ukiolewa unamsikiliza mumeo,unamtii....sio na wewe ulete amri zako
Ndo maana mimi kuolewa sitaki, nataka KUOANA!!!!!!!!!!! LOLEST!
we umeoa!!!!
Ndo maana mimi kuolewa sitaki, nataka KUOANA!!!!!!!!!!! LOLEST!
nataka niongeze wa pili
wewe uko available? lol
hahaaaa mi bado nipo nipo sana siolewi leo wala kesho
uko tayari kusubiri!!!!!!!!!LOL
Kuolewa simply ni kitendo cha mwanamke kutolewa himaya ya wazazi/ walezi wake kwenda kuwa chini ya himaya ya mumewe.
.
swali lako inategemeana
waswahili au waafrika kuna kuoa na kuolewa
but wazungu hakuna hiyo,wanaoana
sasa wewe kama unataka usawa wa kizungu nayo ni tabu...
kiafrika ukiolewa unamsikiliza mumeo,unamtii....sio na wewe ulete amri zako
swali lako inategemeana
waswahili au waafrika kuna kuoa na kuolewa
but wazungu hakuna hiyo,wanaoana
sasa wewe kama unataka usawa wa kizungu nayo ni tabu...
kiafrika ukiolewa unamsikiliza mumeo,unamtii....sio na wewe ulete amri zako
Kuolewa simply ni kitendo cha mwanamke kutolewa himaya ya wazazi/ walezi wake kwenda kuwa chini ya himaya ya mumewe.
Definition hii imezingatia maudhui ya sredi yako...
naweza kusubiri huku tunaona na kuchangamsha viungo..
sio kusubiri boti airport lol