kuolewa rahaaaaaaaa,kuzaa nako utamuuu

kuolewa rahaaaaaaaa,kuzaa nako utamuuu

wewe unaonekana unajielewa ndio maana unasema vile
hongera kwa kulitambua hilo mungu akutangulie na kukujaza zaidi muendelee kuishi kwa amani ndoa yenu ili watu waige zaidi na siyo jamii tu pia na hata nyumbani ulikotokea watapata sifa nzuri

Amina tuombeane pya mpendwa
 
Hongera sana! Mwenyezi Mungu akubariki uongeze mwengine.
 
Ila na nyie muache uvivu yaani miaka yote hio kwenye ndoa halafu mna katoto kamoja tu?? No No ongezeni please please

Hahahahaha tunamalizia ujana nkizaa mwngne naingia kwenye umama haswa
 
mm Mankaa ulijitahidi kuingia huko mapema, lakini hongera
 
Last edited by a moderator:
hongera sana na ubarikiwe, jamii inahitaji kusikia shuhuda chanya kuhusiana na taasisi hii muhimu
 
...duuh, kakinda ka miaka 17 tayari wamekwishawowa...khaaa, watu kweli ni wakatili!!
 
yani ukishazaa wanao
kila wakati unakua wa smile tu
hakuna kununa,hata ukikwazika ukiangalia
wanao unasuuzika,watoaji watoe tu na
wakongoroke salama,mtu anawatoto 4
lakini ukimcheki utadhani ndio kwanza kamaliza 4m six!!
 
umenena na kineneo
yani ukishazaa wanao
kila wakati unakua wa smile tu
hakuna kununa,hata ukikwazika ukiangalia
wanao unasuuzika,watoaji watoe tu na
wakongoroke salama,mtu anawatoto 4
lakini ukimcheki utadhani ndio kwanza kamaliza 4m six!!
 
Kwanza kila la kheri
lkn pili mkigombana na yenyenwe uilete tuijadili sio ukae kimya
tatu mbona hujaweka kapicha kenu tuone mnavopendeza
 
kwa sheria yangu ni kama bi dada alibakwa vile(kwa sheria ya tz)

Kwa mujibu wa sheria yetu ya ndoa binti wa miaka 15 hadi 18 anaweza Kuolewa kwa idhini yake na ya wazazi au walezi wake.
Na binti wa miaka 18 anaweza kuolewa kwa idhini yake tu.
 
Aaaaagh ! Bora 2pumue! Wacha weee! mwekundu upo wap beby njo na siye tufunge ndoaaaaa!! Kumbe kuna raha!!
 
Last edited by a moderator:
japo uliolewa na umro mdogo(ndoa za utotoni) lakini hongera sana kwa kuvumilia yote.
 
yani ukishazaa wanao
kila wakati unakua wa smile tu
hakuna kununa,hata ukikwazika ukiangalia
wanao unasuuzika,watoaji watoe tu na
wakongoroke salama,mtu anawatoto 4
lakini ukimcheki utadhani ndio kwanza kamaliza 4m six!!
Bora 4m 6, mtu anakuwa kama yupo 4m 3 shule ya masista.
 
Back
Top Bottom