mie nimeolewa. 7 years ago nliolewa na miaka 17 nimepitia mengi magumu na nimepiga hatua na mume wangu,
Kinachonipa faraja daily ni pale kababy kangu ka 4 year kananigongea asubuhi "mama me naenda shule nafurahi namtukuza MUNGU kunipa huyu mtoto wa kiume!
Anatufanya tunatabasamu hata kukiwa hakuna furaha tunafurah!
hakika ndoa ni mtoto jamani
nyie mnaotoa mimba kila siku nakujifanya mnautaka usista du poleni wengne tumezaa na bado twaonekana vibinti kuliko hata wewe unaetoa mimba unakongorokaaa msura wakushukaaa ka mbwa alozaa mapacha unaloooo siye tumezaa na tunakula maishaaaa kwa sanaaaaaaaa
Kinachonipa faraja daily ni pale kababy kangu ka 4 year kananigongea asubuhi "mama me naenda shule nafurahi namtukuza MUNGU kunipa huyu mtoto wa kiume!
Anatufanya tunatabasamu hata kukiwa hakuna furaha tunafurah!
hakika ndoa ni mtoto jamani
nyie mnaotoa mimba kila siku nakujifanya mnautaka usista du poleni wengne tumezaa na bado twaonekana vibinti kuliko hata wewe unaetoa mimba unakongorokaaa msura wakushukaaa ka mbwa alozaa mapacha unaloooo siye tumezaa na tunakula maishaaaa kwa sanaaaaaaaa