kuolewa rahaaaaaaaa,kuzaa nako utamuuu

kuolewa rahaaaaaaaa,kuzaa nako utamuuu

Mankaa

Senior Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
156
Reaction score
49
mie nimeolewa. 7 years ago nliolewa na miaka 17 nimepitia mengi magumu na nimepiga hatua na mume wangu,

Kinachonipa faraja daily ni pale kababy kangu ka 4 year kananigongea asubuhi "mama me naenda shule nafurahi namtukuza MUNGU kunipa huyu mtoto wa kiume!
Anatufanya tunatabasamu hata kukiwa hakuna furaha tunafurah!
hakika ndoa ni mtoto jamani

nyie mnaotoa mimba kila siku nakujifanya mnautaka usista du poleni wengne tumezaa na bado twaonekana vibinti kuliko hata wewe unaetoa mimba unakongorokaaa msura wakushukaaa ka mbwa alozaa mapacha unaloooo siye tumezaa na tunakula maishaaaa kwa sanaaaaaaaa
 
^^
Waoo! Ubarikiwe sana, upate uzao wenye heri na salama
^^
 
Kumbe bado una mmoja tu? Jitahidi kuchangamkia fursa biashara asubuhi anahitaji wenzake huyo.
 
wewe unaonekana unajielewa ndio maana unasema vile
hongera kwa kulitambua hilo mungu akutangulie na kukujaza zaidi muendelee kuishi kwa amani ndoa yenu ili watu waige zaidi na siyo jamii tu pia na hata nyumbani ulikotokea watapata sifa nzuri
 
Back
Top Bottom