African Believer
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 436
- 425
Kumekuwa na kasumba ya baadhi ya watu waliofunga kuwakosoa wale wa imani nyingine pale wanapokula chakula mchana ilhali wao wakiwa kwenye funga.
Ijulikane kuwa, funga ni jambo la kiimani na si ugonjwa, hivyo aliyefunga apaswa kutambua kuwa hilo ni jukumu lake kulingana na maagizo ya dini yake.
Kwa sababu hiyo, kwenye nchi yenye uhuru wa kuabudu kwa watu wenye dini mbalimbali si vyema kumlazimisha mtu wa imani nyingine kufunga ama kutokula hadharani pindi wewe unapokua umefunga.
Naomba kuwasilisha.
Ijulikane kuwa, funga ni jambo la kiimani na si ugonjwa, hivyo aliyefunga apaswa kutambua kuwa hilo ni jukumu lake kulingana na maagizo ya dini yake.
Kwa sababu hiyo, kwenye nchi yenye uhuru wa kuabudu kwa watu wenye dini mbalimbali si vyema kumlazimisha mtu wa imani nyingine kufunga ama kutokula hadharani pindi wewe unapokua umefunga.
Naomba kuwasilisha.