Kuoa mwanamke anaye kuzidi Elimu

Enyi waume ishini na wanawake zenu kwa akili,ukiweza kuishi kwa akili na mwanamke hata aje na kabati la madegree ataimana vizuri tu mbele yako. Wao ni watu wa Hisia, hawana /hawawezi kutafiti ndo maana shetani anawatumia wanawake kama mlango wa maovu, mwanamke Mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!

mnhhh...ukiishi na mwanamke chini ya dari moja ndipo utapomjua utafiti wake.
Men are smart, women are smarter! Simdharau Mwanamke hata siku moja,...'mguu waweza ota tende!'
 

...kwenye mahusiano ya mapenzi/ndoa/maisha mkishaanza kuingiza vigezo vya huyu kanizidi hili nami nimemzidi hili mjijue hamtafika mbali... mwishowe mtafikia hiki changu, hiki chake...!

Nitarudi kuchangia, time za futari hizi...

Njemba zikishagundua dada kamzidi madarasa na pochi basi zinasepa haraka sana...ni kitu cha kustaajabisha sana maana unaweza kukuta dada ni poa ile mbaya kitabia, amekolea kila idara mpaka jikoni lakini njemba zisizojiamini huwa zinaingia mitini....basi wataingia mitini sana maana miaka ya karibuni akina dada wamekuja juu sana madarasani si Tanzania tu bali katika nchi nyingi sana hata katika zile fields ambazo miaka ya nyuma zilikuwa zinaonekana ni za wanaume. Wanaume inabidi wajiamini vinginevyo watakosa wachumba.
 
Njemba zikishagundua dada kamzidi madarasa na pochi basi zinasepa haraka sana...ni kitu cha kustaajabisha sana maana unaweza kukuta dada ni poa ile mbaya kitabia, amekolea kila idara mpaka jikoni lakini njemba zisizojiamini huwa zinaingia mitini....basi wataingia mitini sana maana miaka ya karibuni akina dada wamekuja juu sana madarasani si Tanzania tu bali katika nchi nyingi sana hata katika zile field ambazo miaka ya nyuma zilikuwa zinaonekana ni za wanaume. Wanaume inabidi wajiamini vinginevyo watakosa wachumba.


mkuu bubu waache wakimbie
sisi wengine itabidi tuoe wawili au zadi lol
mke wa kwanza phd anafundisha uni
wa pili ni profesa yupo un

wakati kidume una ka degree kamoja tu,
na wake zako wote wako happy lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Njemba zikishagundua dada kamzidi madarasa na pochi basi zinasepa haraka sana...ni kitu cha kustaajabisha sana maana unaweza kukuta dada ni poa ile mbaya kitabia, amekolea kila idara mpaka jikoni lakini njemba zisizojiamini huwa zinaingia mitini....basi wataingia mitini sana maana miaka ya karibuni akina dada wamekuja juu sana madarasani si Tanzania tu bali katika nchi nyingi sana hata katika zile field ambazo miaka ya nyuma zilikuwa zinaonekana ni za wanaume. Wanaume inabidi wajiamini vinginevyo watakosa wachumba.

...maisha ya ndoa ni sawa na jigsaw puzzle. Kila siku iendayo kwa mwenyezi Mungu kuna challenge mpya...
Kuna kipindi ndani ya maisha ya ndoa hakuna kinachoa apply, si elimu ya dini wala elimu ya dunia...
haijalishi mke na mume ni darasa la saba au madaktari wa falsafa.

Huu woga na kujitisha ukiuendekeza hauishi...! kuna wanaoogopa makabila, kuna wanaoogopa elimu, kuna wanaoogopa wajihi wa mtu,...mtakimbia mangapi enyi watu?
 

...maisha ya ndoa ni sawa na jigsaw puzzle. Kila siku iendayo kwa mwenyezi Mungu kuna challenge mpya...
Kuna kipindi ndani ya maisha ya ndoa hakuna kinachoa apply, si elimu ya dini wala elimu ya dunia...
haijalishi mke na mume ni darasa la saba au madaktari wa falsafa.

Huu woga na kujitisha ukiuendekeza hauishi...! kuna wanaoogopa makabila, kuna wanaoogopa elimu, kuna wanaoogopa wajihi wa mtu,...mtakimbia mangapi enyi watu?


mbu futari ya leo si mchezo
naona unashusha pointi tupu leo..
 

...maisha ya ndoa ni sawa na jigsaw puzzle. Kila siku iendayo kwa mwenyezi Mungu kuna challenge mpya...
Kuna kipindi ndani ya maisha ya ndoa hakuna kinachoa apply, si elimu ya dini wala elimu ya dunia...
haijalishi mke na mume ni darasa la saba au madaktari wa falsafa.

Huu woga na kujitisha ukiuendekeza hauishi...! kuna wanaoogopa makabila, kuna wanaoogopa elimu, kuna wanaoogopa wajihi wa mtu,...mtakimbia mangapi enyi watu?

Ahsante sana Mkuu yaani!!!! Watu wanazidi kuweka vikwazo kila kukicha huyu kabila lake baya, yule kasoma sana kanizidi, yule ana cheo kikubwa kuliko mimi, na yule mwingine mshahara wake ni mkubwa kuliko mimi!!! LOL! ukija shtuka umebaki mtupu huna mchumba na miaka ndio imekwishatupa mkono...Kama ulikuwa na mpango wa kuoa ndio unabaki kujilaumu tu.
 
mkuu bubu waache wakimbie
sisi wengine itabidi tuoe wawili au zadi lol
mke wa kwanza phd anafundisha uni
wa pili ni profesa yupo un

wakati kidume una ka degree kamoja tu,
na wake zako wote wako happy lol

Naam itabidi iwe hivyo Mkuu.....maana wengine hawajiamini kabisa.
 
mbu futari ya leo si mchezo
naona unashusha pointi tupu leo..

...aaahh, wanaudhi hawa bana...wiki nzima mada za; wanawake wa kimachame ogopa, mahausi geli wa kinyiramba ogopa,
wanawake wa kihaya ogopa, mara hili; mwanamke aliyekuzidi elimu na kipato ogopa....lol....
Wanatufanya wananume wa kisasa tuonekane waoga waoga tuuu..aka..'wanaume suruali!'

Uanaume ni kuface challenges bana,...Mimi nampenda YEYE, sitamuoa au kuza nae sababu ya Elimu yake wala kazi yake
 
wanasema uwoga wako ndo umaskini wako...!! Elimu au pochi lake halitomfanya hawe kidume atabakikuwa wa kike 2.
 
Hahahahaha LOL! anashusha vitu vizito nadhani futari ya leo haikuwa mchezo na pia mahanjumati hayakukosa :):):)

hhhaaha,....shemejio, 'Mchagga wa Tanga' hakutaka mchezo wikiendi hii!
Kavua majoho, nazi kakuna mwenyewe, ...mkate wa kusukuma kaichoma yeye,
faluda, vipoo poo, mkate wa kumimina na mchuzi wa shatashata! ...Mashaallahu msomi huyu
hana makuu maskini!

Hawa watu wanajitisha bure mkuu, hawajui tunavyofaidi. Ngoja nikajimwagie maji...keshayachemsha na bafuni
kanipelekea. Will be back!
 

mnhhh...ukiishi na mwanamke chini ya dari moja ndipo utapomjua utafiti wake.
Men are smart, women are smarter! Simdharau Mwanamke hata siku moja,...'mguu waweza ota tende!'

Njemba zikishagundua dada kamzidi madarasa na pochi basi zinasepa haraka sana...ni kitu cha kustaajabisha sana maana unaweza kukuta dada ni poa ile mbaya kitabia, amekolea kila idara mpaka jikoni lakini njemba zisizojiamini huwa zinaingia mitini....basi wataingia mitini sana maana miaka ya karibuni akina dada wamekuja juu sana madarasani si Tanzania tu bali katika nchi nyingi sana hata katika zile fields ambazo miaka ya nyuma zilikuwa zinaonekana ni za wanaume. Wanaume inabidi wajiamini vinginevyo watakosa wachumba.

mkuu bubu waache wakimbie
sisi wengine itabidi tuoe wawili au zadi lol
mke wa kwanza phd anafundisha uni
wa pili ni profesa yupo un

wakati kidume una ka degree kamoja tu,
na wake zako wote wako happy lol


...maisha ya ndoa ni sawa na jigsaw puzzle. Kila siku iendayo kwa mwenyezi Mungu kuna challenge mpya...
Kuna kipindi ndani ya maisha ya ndoa hakuna kinachoa apply, si elimu ya dini wala elimu ya dunia...
haijalishi mke na mume ni darasa la saba au madaktari wa falsafa.

Huu woga na kujitisha ukiuendekeza hauishi...! kuna wanaoogopa makabila, kuna wanaoogopa elimu, kuna wanaoogopa wajihi wa mtu,...mtakimbia mangapi enyi watu?

Ahsante sana Mkuu yaani!!!! Watu wanazidi kuweka vikwazo kila kukicha huyu kabila lake baya, yule kasoma sana kanizidi, yule ana cheo kikubwa kuliko mimi, na yule mwingine mshahara wake ni mkubwa kuliko mimi!!! LOL! ukija shtuka umebaki mtupu huna mchumba na miaka ndio imekwishatupa mkono...Kama ulikuwa na mpango wa kuoa ndio unabaki kujilaumu tu.


...aaahh, wanaudhi hawa bana...wiki nzima mada za; wanawake wa kimachame ogopa, mahausi geli wa kinyiramba ogopa,
wanawake wa kihaya ogopa, mara hili; mwanamke aliyekuzidi elimu na kipato ogopa....lol....
Wanatufanya wananume wa kisasa tuonekane waoga waoga tuuu..aka..'wanaume suruali!'

Uanaume ni kuface challenges bana,...Mimi nampenda YEYE, sitamuoa au kuza nae sababu ya Elimu yake wala kazi yake


Aksanteni kina kaka hebu watieni moyo hawa wengine wasiojiamini. Mwanaume kujiamini bwana.......wakiendelea hivyo mbona hawataoa? na hivi shule za kata zinajengwa kila kukicha!
 
kama mwanaume unakuwa hauchangii chochote katika maisha yenu na kusubiri kubebwa kwa kila kitu basi kweli weye *****.

kuna mengi mwanaume anaweza fanya pia kutafuta pesa kidogo nje na sio kusubiri kununuliwa hata deodorant 24/7

pia chances nyingi kufanya viji course kama sio higher courses
 
Ingekuwa heri kama nitaeleweka katika hili, kwamba mada kama hii ingefaa kujadiliwa na wale walio katika ndoa/ mahusiano si chini ya miaka mitano mfulurizo bila kupumzika pengine tungepata majibu yasiyo nadharia. Nijuavyo mimi ndoa kama taasisi ina ups and down nyingi na haiwezi kuwepo uniqueness kati ya ndoa moja na nyingine.

Tunayo mifano hai pale inapokuja misemo kama; waliyo nje wnataka kuingia ndani na walio ndani wanatak kutoka nje ya ndoa! Kwa mantiki hii itategemea kama kisomo na mali ni gist katika ndoa yenu au mapenzi ndio fundamental ya ndoa yenu.
 
hhhaaha,....shemejio, 'Mchagga wa Tanga' hakutaka mchezo wikiendi hii!
Kavua majoho, nazi kakuna mwenyewe, ...mkate wa kusukuma kaichoma yeye,
faluda, vipoo poo, mkate wa kumimina na mchuzi wa shatashata! ...Mashaallahu msomi huyu
hana makuu maskini!

Hawa watu wanajitisha bure mkuu, hawajui tunavyofaidi. Ngoja nikajimwagie maji...keshayachemsha na bafuni
kanipelekea. Will be back!


Mweh!! umeamua kuwatolea na 'demo' kabisa washindwe wao sasa kuamini kuwa si wanawake wote wenye elimu zao wanakuwa wakorofi.

Mimi namfahamu dada mmoja yeye na mumewe hawakutofautiana sana kielimu ingawa mdada kidoogo kwenye 'elimu ya maisha' alikuwa juu (mkaka alikuwa bado anatamani ujana pamoja na kuwa jua lilishaanza kuzama) sasa ikawa kila mdada akitoa wazo la maisha mkaka anakuja juu...unajifanya msomi! Sa tukawa twahangaa usomi gani wakati wote nagraduate?? lakini mwisho wa siku tukagundua shida haikuwa elimu bali ni confidence ya kaka ilikuwa ndogo....................hakuwa akijiamini

Mimi sijasoma lakini mwanaume asiyejiamini hata mie hapana bwana................nikimbahatisha basi nitajitahidi kumfanya ajiamini kwa kila njia ili mradi tu asiabuse
 
Kuna mkaka kaishia la saba mkewe ana masters na ana sauti huyoooo, kidume kikiingia ndani nyumba yoote kimya, na mkewe anampenda mumewe hatar, nafikiri haya yote kama walivosema mbu boss na bak ni kujiamini tu, coz mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu, kinachojalisha ni upendo wa kweli na heshima
 
Mweh!! umeamua kuwatolea na 'demo' kabisa washindwe wao sasa kuamini kuwa si wanawake wote wenye elimu zao wanakuwa wakorofi.

Mimi namfahamu dada mmoja yeye na mumewe hawakutofautiana sana kielimu ingawa mdada kidoogo kwenye 'elimu ya maisha' alikuwa juu (mkaka alikuwa bado anatamani ujana pamoja na kuwa jua lilishaanza kuzama) sasa ikawa kila mdada akitoa wazo la maisha mkaka anakuja juu...unajifanya msomi! Sa tukawa twahangaa usomi gani wakati wote nagraduate?? lakini mwisho wa siku tukagundua shida haikuwa elimu bali ni confidence ya kaka ilikuwa ndogo....................hakuwa akijiamini

Mimi sijasoma lakini mwanaume asiyejiamini hata mie hapana bwana................nikimbahatisha basi nitajitahidi kumfanya ajiamini kwa kila njia ili mradi tu asiabuse

....lol,...'mwenye bahati habahatishi!'
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom