Hii ndio ile yule dogo alieimba "nadekezwa nadekezwa"
Bora hiyo, Cku moja nilikuwa viwanja fulan (maeneo ya bar) kwa majirani zetu hapo Kenya nikashuhudia mdada amepakatwa kwenye kiti anatoa uloda mbele ya kadamnasi . Daaah, haya mambo ni balaa!
Just like her own kidKwa hiyo ndio anamnywesha kiustaarabu right...?
Bora hiyo, Cku moja nilikuwa viwanja fulan (maeneo ya bar) kwa majirani zetu hapo Kenya nikashuhudia mdada amepakatwa kwenye kiti anatoa uloda mbele ya kadamnasi . Daaah, haya mambo ni balaa!
Daah, cku hiyo ilinibidi nikatafute wa kukesha nae mkuu, sababu nilitoka pale akili imeganda kwenye tukio lileVyombo vikishakolea aisee hata mkwe anaweza akakojolewa mkuu.
Ni Hatari Sana.