Kunywa Energy drink nyingi ina madhara?

Prince mrema

Member
Oct 11, 2017
61
71
Wadau mimi ni mtumiaji sana wa Azam Energy drink ile ndogo ya 600. Kwa siku nakunywa ata 3 kuendelea..na nikiwa nafanya kazi nikinywa huwa najiskia fresh sana na uchovu unakata nasikia ina madhara makubwa haya ni ya kweli au uzushi?
 
wadau mimi ni mtumiaji sanaaaa wa azam energy drink ile ndogo ya 600..kwa siku nakunywa ata 3 kuendelea..na nikiwa nafanya kazi nikinywa huwa najiskia fresh sana na uchovu unakata.naskia ina madhara makubwa haya ni ya kweli? au uzushi
Kwa umri mdogo wa sasa hutoona shida ila baadae utajua hujui. Mambo sio poa na haya mavinywaji
 
Duh idadi unayokunywa ni kubwa mnooo...Energy drink zinasifa ya kuwa na Sukari nyingiiiiiiiii sasa unapokunywa ile sukari inaenda kutengeneza energy kweli mwilini(glucose) ila ni kiwango kidogo sana cha sukari kinachotumika kutengeneza energy ya mwili.

Kwahiyo kinachofata sukari nyingi iliobaki inatengeneza mafuta(cholesterol) madhara yake utayaona badae si unajua mirija ikiwa na mafuta?? Damu haitapita vizuri fujo za magonjwa ndo zitaanzia apo utaaanza kusema umerogwa kumbe mchawi ni wwe mwenyewe


...Madhara mengine ni kwenye Meno? Sukari nyingi meno yatatoboka utang'oa kila mwezi
 
Energy drink ni msiba kwa taifa siku zijazo afya za watumiaji zitakuwa shakani sana, hii kitu siyo salama kabisa vile unakuta mtu kila siku lazima anywe angalau moja au mbili.
 
wadau mimi ni mtumiaji sanaaaa wa azam energy drink ile ndogo ya 600..kwa siku nakunywa ata 3 kuendelea..na nikiwa nafanya kazi nikinywa huwa najiskia fresh sana na uchovu unakata.naskia ina madhara makubwa haya ni ya kweli? au uzushi

Mkuu iyo ina caffeine na caffeine ina tabia ya kua addictive apo labda umekua addicted tayari, kuhusu madhara yenyewe imeandikwa usitumie zaidi ya 2 kama sio 1 tafuta jambo lingine la kukuondolea uchovu
 
Duh idadi unayokunywa ni kubwa mnooo...Energy drink zinasifa ya kuwa na Sukari nyingiiiiiiiii sasa unapokunywa ile sukari inaenda kutengeneza energy kweli mwilini(glucose) ila ni kiwango kidogo sana cha sukari kinachotumika kutengeneza energy ya mwili....
dah
 
Wadau mimi ni mtumiaji sana wa Azam Energy drink ile ndogo ya 600. Kwa siku nakunywa ata 3 kuendelea..na nikiwa nafanya kazi nikinywa huwa najiskia fresh sana na uchovu unakata nasikia ina madhara makubwa haya ni ya kweli au uzushi?
Achana kabisa na hizo energy hazifai, hata moja kwa siku usinywe, ni bora unywe bia ina faida.
 
Back
Top Bottom