Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

Hata siku moja sijawahi na wata haitatokea kutumia ulimi wangu kwenye huo uchafu dole gumba yangu inatosha
 
Jana Kwenye pitapita zangu nilibahatika kukutana na kiongozi mmoja wa kiroho, nilienda kumshirikisha magumu ninayoyapitia Kwenye biashara, ndoa na social issues.
Akaniambia biashara zangu haziendi kwasababu ya matendo yangu, hasa tendo nikupendalo LA kunyonya tupu ya mke wangu ili kumrahisisha afike kileleni mapema. Nikastaajabu Sana... Kama tumeambiwa tusinyimane iweje tena kuwepo na laana? sikuuluza swali hilo kwasababu niliyemfuata ni kiongozi wa Buddha Upanga

Si kweli kabisa..... bila uvinza mambo hayakamiliki... mkuu endelea hivyo ni vitu muhimu ktk udhibiti
 
Back
Top Bottom