Kunyolewa nywele usiku kishirikina

Kunyolewa nywele usiku kishirikina

Watz wengi ni wajinga sana(Mollel 2023) na ndio hao wanaoamini mambo ya uchawi na ushirikina. Hakuna mtu mwenye akili timamu na IQ ya kutosha anaweza kuamini mambo ya uchawi na sarakasi zinginezo za kufikirika
 
Nimechunguza visa vingi vya watu, unaweza fikiri ni panya au mikwaruzo inayotokana na kazi, lakini chale hizo zinaonekana kuwa systematic, unakuta mtu amechanjwa chale 3 mkono wa kulia na 3 mkono wa kushoto, hivyo hivyo miguuni. Hapa lazima ujiulize yawezaje kutokea hilo? Mwingine amenyolewa sehemu 3 kichwani, mbele katikati na kisogoni, unasemaje?
Wengine kwa kuamini uchawi huenda kuchanjwa na matapeli "waganga." Sema hawezi kukwambia hilo.
 
Don't believe superstitious nonsense and you'll NEVER be bothered by witches, spells, or witchcraft ever again. Witchcraft only works on the gullible.
 
Watz wengi ni wajinga sana(Mollel 2023) na ndio hao wanaoamini mambo ya uchawi na ushirikina. Hakuna mtu mwenye akili timamu na IQ ya kutosha anaweza kuamini mambo ya uchawi na sarakasi zinginezo za kufikirika
MCHAWI MKUBWA WE.

NA USIPOACHA UCHAWI UTAKUFA MDOMO WAZI.
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyonyoka nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.
Daktari naomba nikupm na mimi mwanangu ana hili tatizo na linanisumbua sana, ni mtoto wa miaka miwili.
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyonyoka nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.

Daktari uchwara kwenye ubora wako
 
Usiku saa 4 paka wamelia maeneo ya nyumbani walikuwa wawili mmoja Angalia kama mtoto mchanga nikasali nikalala asb nimekuta wameninyoa kwenye nywele za mbele zile ndogo wembe kabisa umepita Niko na uchovu
 
Back
Top Bottom