kunyimwa tendo la ndoa

ukishaoa au kuolewa tendo la ndoa ni wajibu
 
Old thread yeah? I don't believe I wrote that stuff up there
 
Kuna wanaume huwa wanapenda wakinyimwa sex home maana ndiyo muda wake kuchepuka
 
Yapo mambo mengi yanayoweza kusababisha kunyimwa msongo wa mawazo,majukumu ya nyumbani, labda mwanaume akili yk ni yakuwaza chini tu hamna kusema anakujali ht kwa zawadi nk mf unakuwa mwanamke ndo uwaze bajeti za nyumbani yy hana hbr,kingine michepuko nayo inakatisha tamaa yakufurahia ndoa ni vyema kutafakar kwa nn unanyimwa na ujiangalie wapi unakosea nakurekebishana mambo yasonge mbele
 
Akininyima nahamia sitting room kama sipo kwenye nyumba za kupanga, naweka muvi naendelea kuangalia. Na kama hakuna mtoto, volume ya kutosha. Halafu nione akiniletea sura yake kuwa namnyima usingizi kwa makelele, ataisoma.
 
Nakwambia "MAISHA YAKE" (mke wangu) hatofanya hilo kosa.....kwa sababu atajua kitakacho fatia
 
mapenzi ni two way com. nipe nikupe tuenjoy wote babuuu
 
Reading between your lines if not legs I sense some senses which lead to common sense.
Thanks for the remind. It's not always about fuc..ng but being good friends which means real and great love.
 

Ninaamka ninufuta mchepuko na kurudi asubuhi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…