Kununua Xiaomi redmi 10C

Umenifumbua macho, sinunui tena simu zinazouzwa na makampuni ya mitandao
 
Kuhusu ofa ya Tigo mpango kwamba ukininua simu kwenye maduka Yao utapata GB Kwa mwaka mzima. Naona kuna Ka chenga Fulani hivi. Mimi nimeipata mara moja Tu tangu ninunue simu na maelekezo nafuata.
Umeeka vocha ya 2000? Maana nasikia wamebadili terms.
 
Simu ni nzuri camera ni nzuri tena inatoa picha nzito walau maphotofraphic mnaelewa hapa
 
Watafute hawa p connect wapo China plaza flour Xiaomi wenyewe hakuna cha tigo wala Voda

Hizi ni Moja ya simu ambazo mid range flagship yaan Kwa mnaopenda Kamera konki Kwa low budget basi chaguo lenu ni hili

Bei inaanzia 420K Ila bei yake ni 350 sijui mmeelwa hapo

Moja ya picha zake hapo Chini [emoji991]
 
Mbona picha ya kawaida sana hii? Ndo mp 50 kweli?
 
Reactions: PYD
REDMI Note 10 Pro INAUZWA

Storage:
ROM 128 GB
RAM 6GB

Battery:
5052mAh(typ)
33W fast charging

Camera:
64MP ( Al quad camera)
Utra-wide and telemacro lenses

Qualcomm SNAPDRAGON 732G, 8nm high perfomance processor.
 

Attachments

  • P-IMG-20220927-WA0001.jpg
    25.7 KB · Views: 43
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…