Kununua simu duka la jumla

Kununua simu duka la jumla

Sory inamaana nikienda kariakoo kununua simu kwamfano galaxy a71 au 51 kwa sasa inakua refurbeshed sio mpya? Au siwezi pata mpya?
hapana uzuri wa hizi Aseries ni simu zinazokuja zikiwa mpya,maana ni za bei ndogo.kama tecno na infinix.
hiyo inakuja wewe ndio unaibikiri.ila nikikwambia utapata s9 plus mpya nakudanganya.
maana hizo ni simu za bei ghali,huwa zinauzwa kwa kutolengwa soko la huku,hivyo ikija inakuja ikiwa iliishauzwa ikarudishwa kiwandani kwa matatizo,ikarekebishwa,ikashushwa bei na kufungwa upywa kisha kuletwa huku.

ndio maana nyingi utazikuta uchi na film juu pale basi,ila ukitaka s9plus 0km nenda kwa dealer wa samsung utaikuta,ila usishangae ukakita inauzwa 1.5 mpaka leo,wakati kkoo inauzwa laki 8.
 
Sory inamaana nikienda kariakoo kununua simu kwamfano galaxy a71 au 51 kwa sasa inakua refurbeshed sio mpya? Au siwezi pata mpya?
Zipo zote mpya na refurb cha muhimu kujua kucheki ipi ni refurb na ipi ni mpya. Usipojua unaweza uziwa refurb kwa bei ya mpya.

But at the end:

Bongo vitu vingi vipya original hatuwezi mudu ndio mana magari mengi yanakuja second hand na hanaonekana mapya huku. Hii ni karibia kila kitu kinaenda na bei za kibongobongo.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Sory inamaana nikienda kariakoo kununua simu kwamfano galaxy a71 au 51 kwa sasa inakua refurbeshed sio mpya? Au siwezi pata mpya?

Ndio swali nililokuuliza. Samsung A. za mwaka huu na mwaka jana, zote ni nzima/ Mpya na sio refubrished sidhani kama bei inaweza pisha hivyo. kuna mmoja nibmpigaji. kama unataka Warranty nenda official store za simu husika
 
Zipo zote mpya na refurb cha muhimu kujua kucheki ipi ni refurb na ipi ni mpya. Usipojua unaweza uziwa refurb kwa bei ya mpya.

But at the end:

Bongo vitu vingi vipya original hatuwezi mudu ndio mana magari mengi yanakuja second hand na hanaonekana mapya huku. Hii ni karibia kila kitu kinaenda na bei za kibongobongo.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Iyo ni kweli kabisa, ila hua naangalia toleo la kitu mpaka muda kinapofika bongo naamini naweza pata kipya kwa muda ambao no mfup toka kilipozinduliwa ulimwenguni
 
Iyo ni kweli kabisa, ila hua naangalia toleo la kitu mpaka muda kinapofika bongo naamini naweza pata kipya kwa muda ambao no mfup toka kilipozinduliwa ulimwenguni
Refurb zipo za aina mbili.

1. Ambazo zimeuzwa zikaredishwa either kwa kampuni kuzi recall ama mteja kurudisha mwenyewe. Hizi muda hupita tangu toleo la simu mpaka kuanza kupatikana.

2. Ambazo zimezalishwa hazijafika hata sokoni. Hii inatokeaje? Mfano wamezalisha simu laki1 kwa batch moja. Katika hizo simu laki1 huwa kuna asilimia ndogo huwa na hitilafu. Hizo hazipelekwi sokoni bali hufanyiwa marekebisho kidogo na kuuzwa. Hizi hupatikana mapema wiki chache baada ya toleo la simu.

Hiyo namba mbili ni kama hapa bongo unavyoonaga mabati reject kutoka kiwandani yanauzwa bei poa.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Refurb zipo za aina mbili.

1. Ambazo zimeuzwa zikaredishwa either kwa kampuni kuzi recall ama mteja kurudisha mwenyewe. Hizi muda hupita tangu toleo la simu mpaka kuanza kupatikana.

2. Ambazo zimezalishwa hazijafika hata sokoni. Hii inatokeaje? Mfano wamezalisha simu laki1 kwa batch moja. Katika hizo simu laki1 huwa kuna asilimia ndogo huwa na hitilafu. Hizo hazipelekwi sokoni bali hufanyiwa marekebisho kidogo na kuuzwa. Hizi hupatikana mapema wiki chache baada ya toleo la simu.

Hiyo namba mbili ni kama hapa bongo unavyoonaga mabati reject kutoka kiwandani yanauzwa bei poa.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Aisee
 
Refurb zipo za aina mbili.

1. Ambazo zimeuzwa zikaredishwa either kwa kampuni kuzi recall ama mteja kurudisha mwenyewe. Hizi muda hupita tangu toleo la simu mpaka kuanza kupatikana.

2. Ambazo zimezalishwa hazijafika hata sokoni. Hii inatokeaje? Mfano wamezalisha simu laki1 kwa batch moja. Katika hizo simu laki1 huwa kuna asilimia ndogo huwa na hitilafu. Hizo hazipelekwi sokoni bali hufanyiwa marekebisho kidogo na kuuzwa. Hizi hupatikana mapema wiki chache baada ya toleo la simu.

Hiyo namba mbili ni kama hapa bongo unavyoonaga mabati reject kutoka kiwandani yanauzwa bei poa.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwaiyo nikinunua galaxy a51 au 71 kuna huwezekano wa kupata refurb maana muda mrefu kidogo toka zitoke sio?
 
Kwaiyo nikinunua galaxy a51 au 71 kuna huwezekano wa kupata refurb maana muda mrefu kidogo toka zitoke sio?
A71 zinakaribia mwaka tangu ziingie sokoni so refurb nyingi sana. Ila bajeti ya mpya na refurb tofauti ni kubwa sana ndio mana hata wauzaji wengi wa kariakoo wanakwepa mpya wananunua refurb na copy. Kiukweli bongo simu mpya original haziuziki.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Just imagine hiyo simu inauzwa $600 samsung.com. Hapo

1. Ukiweka freight kama $20 inakuja $620.
2. Ukiweka ushuru $155 inakuwa $775.
3. Ukiweka VAT $140 inakuja $915.
4. Ukiweka margin ya mfanya biashara kariakoo labda $50 inakuja $965.

Sasa simu ya $965 tena A series utamuuzia nani bongo.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Naomba ushauli nina laki sita simu gani ipo vizuri kwenye camera kwa bajet hiyo mimi pendekezoo langu ni camera tu naweza pata simu yenye camera kali sana kwa bajeti hiyo
 
Back
Top Bottom