lewis mtunze
Member
- Aug 31, 2020
- 42
- 26
Wadau naomba kuuliza; kununua simu kwenye maduka ya jumla kuna hasara yoyote ikitokea ina tatizo? Maana ukinunua duka la rejareja leo ukirudisha unaambiwa itengenezwe upewe kwanini usipewe mpya, kuna haja gani kununua kwenye maduka ya rejareja yaani unalidwa na nini? Lakini pia naomba kuuliza zile protector za kumimina nini faida yake na hasara natanguliza shukrani kwenu wadau.
