Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,491
- 10,474
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili
Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?
Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?
Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?
Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?
Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika