Kununua share au Fixed Account?

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,491
10,474
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili

Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?

Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?

Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
 
Mkuu kawekeze kwenye government bond, haziongopi zile
Itategemea ameamkaje,
Na huna la kumfanya Wala hutoweza kufungua Kesi popote kudai chako.

Maana kwa mswada mpya,
hairuhusiwi kwa mwananchi wa kawaida kuifungulia mashtaka serikali yako isipokua mamlaka hayo kapewa MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI.

Jiulize Sasa,
inawezekana vipi MWANASHERIA mkuu wa serikali asimame upande WAKO kuishitaki serikali inayomlipa yeye mshahara?

Kwa kifupi, HAIWEZEKANI.

Binafsi naona
Kuwekeza huko kwa hali ya Sasa nako Ni Kama kucheza tu KAMARI.
 
Nafikiri weka on Govt bonds za 20 year upate 15% annually au unaweza kugawa, some ukanunua hisa za makampuni yanayoeleweka. Ila bora umtafute mshauri wa masuala ya kifedha kwanza ili akushauri vizuri.
 
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili

Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?

Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?

Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
Kwa Tanzania ni Bora Bora ukaweka izo pesa kwy Fixed account tuuu, izi Shares, Bond and Treasury Bills bado Kwa Tanzania hazina uelekeo muhimu
 
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili

Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?

Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?

Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
Nunua hatifungani za serikali, hazina mambo mengi, riba kubwa.
 
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili

Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?

Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?

Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
Tafuta utaratibu wa Bond-certificate ununue hio.
 
Wakuu nina pesa kama millioni 100 kwasasa sina mpango nayo kuifanyia chochote hadi baada ya miaka miwili

Naomba ushauri wenu kati ya kununua share na baada ya miaka miwili nije niziuze au niweke fixed acc niwe napata gawio kila mwezi?

Pili je ni bank gani wanatoa rate nzuri fixed acc? Na je Hisa si zinaweza kishuka ikawa hasara? Na mgawo wa faida ya hisa ni kila baada ya muda gani?

Sihitaji ushauri wa biashara yoyote baada ya masahibu nisije nikapoteza hela yote bure, nahitaji miaka 2 nitulie
Naombeni mwanga kabla sijaenda kwa wahusika
Miaka miwili iliisha Julai 19 2022, tupe za juu juu ulifanya nini, tujifunze na sisi
 
Itategemea ameamkaje,
Na huna la kumfanya Wala hutoweza kufungua Kesi popote kudai chako.

Maana kwa mswada mpya,
hairuhusiwi kwa mwananchi wa kawaida kuifungulia mashtaka serikali yako isipokua mamlaka hayo kapewa MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI.

Jiulize Sasa,
inawezekana vipi MWANASHERIA mkuu wa serikali asimame upande WAKO kuishitaki serikali inayomlipa yeye mshahara?

Kwa kifupi, HAIWEZEKANI.

Binafsi naona
Kuwekeza huko kwa hali ya Sasa nako Ni Kama kucheza tu KAMARI.


Sasa ukawekeze
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom