Kama una mda wa kusimamia Ujenzi wa nyumba yako, basi jenga. Kama huna mda wa kusimamia Ujenzi wa nyumba yako, basi nunua.
ANGALIZO: Ukiona ni heri kununua kuliko kujenga, basi hakikisha unapata ABCs (info) za kutosha kuhusu nyumba hiyo unayotaka kununua. Sababu zingine zinakuwa na mauza uza, zingine siyo imara, zingine zinakuwa katika migogoro.