miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Habari wakuu narudi tena kwenu. Nipo kwenye process ya kuanzia catering services. Nilikua naomba mwenye ujuzi anisaidie nataka kuwa nanunua nyama kwa bei rahisi machinjioni hivyo naomba kujua vifuatavyo:
1. Kuna machinjio ambavyo ipo karibu na Mbagala?
2. Muda wa kwenda machinjioni ni saa ngapi?
3. Minimum kgs ukienda machinjioni ni kiasi gani?
4. Kila mtu anaweza kuingia machinjioni kununua nyama au mpaka uwe na kibali maalum?
Naomba mnisaidie wakuu
1. Kuna machinjio ambavyo ipo karibu na Mbagala?
2. Muda wa kwenda machinjioni ni saa ngapi?
3. Minimum kgs ukienda machinjioni ni kiasi gani?
4. Kila mtu anaweza kuingia machinjioni kununua nyama au mpaka uwe na kibali maalum?
Naomba mnisaidie wakuu