Rey leonard
Member
- Dec 18, 2016
- 70
- 38
Nashauri ufanye oil pulling kwa kutumia mafuta ya kupikia ya Nazi.Habari wana jamvi,
Huyu mwanamke toka nimempata hataki nimpige kiss, denda na hata tukiongea huwa anaziba pua.
Sasa jana tumekosana ndo kanambia domo langu linatoa harufu kama choo, nikaishwa mpaka pozi.
Nikakumbuka matukio yote nikiwa na wadau nikiongea tu wanaziba pua.
Dah huu mdomo huu mbona naupiga mswaki kila siku au nilikula mavi kipindi niko mtoto?
Kwa nini usimwambieYupo rafiki yangu nae ana tatizo kama hilo domo linanuka kama mavi halafu hajijui Sijui mkewe anamvumiliaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Wewe kaka una Tatizo la kunuka mdomo.Utaachwa sana.
Jamani wakaka wanuka midomo wanakeraaaaaaaaaa
Hapana
Ni bora Mara mia uwe Na mpenzi Mwenye kasoro yoyote ile but Sio mnuka Domo
Domo likianza kunuka kama choo cha stand ya Kibiti
Hapana
Hapana
Hata kama MTU huyo ni Handisamuuu but kasoro ya mdomo utasema umerogwaa
Suluhisho
Kata Ulimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kawaone wamasai wanauza Dawa huwa wanazo na ni bei ndogo sanaHabari wana jamvi huyu mwanamke toka nimempata hataki nimpige kiss, denda na hata tukiongea huwa anaziba pua.
Sasa jana tumekosana ndo kanambia domo langu linatoa harufu kama choo, nikaishwa mpaka pozi nikakumbuka matukio yote nikiwa na wadau nikiongea tu wanaziba pua.
Dah huu mdomo huu mbona naupiga mswaki kila siku.
Mkuu km hujapata dawa ya hilo tatizo nicheki PM nikupatie dawa ya hilo tatizo, utamaliza sn pesa lkn hutopata dawa mujarabu, nicheki mm nikusaidie zen ulete mrejesho hapa kwenye huu uzi.Habari wana jamvi huyu mwanamke toka nimempata hataki nimpige kiss, denda na hata tukiongea huwa anaziba pua.
Sasa jana tumekosana ndo kanambia domo langu linatoa harufu kama choo, nikaishwa mpaka pozi nikakumbuka matukio yote nikiwa na wadau nikiongea tu wanaziba pua.
Dah huu mdomo huu mbona naupiga mswaki kila siku.
Mimi hata nikipata demu mzuri kiasi gani!
Kama ananuka mdomo namuacha!
Wewe jamaa hakuna kitu kinachoaibisha kama harufu ya mdomoni!!Safisha kinywa Vizuri mkuu, at least twice a day!
But it is also good to clean your mouth soon after taking any meal!