Yeah ili ndo wazo zuri dentst anausika apooNenda kwa dentist, unahitaji kusafisha meno na kuelekezwa jinsi ya kusafisha, wengine hapo wanakudanyanya,
Kunuka mdomo inasababishwa na uchafu kwenye sehemu kt ya jino na jino, kuna njia ya kusafisha
nilitolewa out na mkaka mzur ila alkua na hlo tatizo kila muda anataka aongee nilikua mpole kwel had nikasifiwa,ilinibid niwah kuondoka kisingizio cha kuwa na emergency kumbe uvumilivu ulinishndaHahahaaa katika vitu vigumu kuvumilia ktk mapenzi mojawapo ni hilo kunuka mdomo, soksi, kwapa la beberu duu mimi siwezi kabisa
Hahahaaa....umenchekesha sanaHalafu Wanaume Wanaonuka Midomo Wanapenda Kweli Kuongea ( Mboyoyo Mingi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Hata medi oral nzuri inakata harufu ya domoHabari wana jamvi,
Huyu mwanamke toka nimempata hataki nimpige kiss, denda na hata tukiongea huwa anaziba pua.
Sasa jana tumekosana ndo kanambia domo langu linatoa harufu kama choo, nikaishwa mpaka pozi.
Nikakumbuka matukio yote nikiwa na wadau nikiongea tu wanaziba pua.
Dah huu mdomo huu mbona naupiga mswaki kila siku au nilikula mavi kipindi niko mtoto?
Yanayosababisha mdomo kutoa harufu mbayaHabari wana jamvi,
Huyu mwanamke toka nimempata hataki nimpige kiss, denda na hata tukiongea huwa anaziba pua.
Sasa jana tumekosana ndo kanambia domo langu linatoa harufu kama choo, nikaishwa mpaka pozi.
Nikakumbuka matukio yote nikiwa na wadau nikiongea tu wanaziba pua.
Dah huu mdomo huu mbona naupiga mswaki kila siku au nilikula mavi kipindi niko mtoto?
Nilipanda daladala sasa huyo mkaka yupo dirishani akipiga mwayo duu utazani chemba hapo ni saa10 duu ikiwa na ndugu anatema ni bora umwambie kuliko kwenda kuabika mtaaniHalafu Wanaume Wanaonuka Midomo Wanapenda Kweli Kuongea ( Mboyoyo Mingi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yupo Dar aonane na Dr. Lema pale Kairuki Hospital atamfanyia deep cleaning. Amenisaidia sana,na mimi kuna muda ulifika nikadhani hewa inatoka tumboni kumbe sio ni kwenye meno.Nenda kwa dentist, unahitaji kusafisha meno na kuelekezwa jinsi ya kusafisha, wengine hapo wanakudanyanya,
Kunuka mdomo inasababishwa na uchafu kwenye sehemu kt ya jino na jino, kuna njia ya kusafisha
mkuu kuwa sirias wote wanaonuk midomo huwa hawal mchana...?
poa mku smartWengi wao...
Wapo ambo ni kwa ajili ya sigara, wengine bangi, wengine pombe, wengine vidonda vya tumbo...
cc: mahondaw