Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Limao unasugua kabla ya kwenda kuoga asubuhi na jioni ukitoka kuoga tumia antiperspirant deoderant stick zinasaidia kukuweka mkavu +kutokulowana jasho note:ukipata any chance ya kuoga oga hata kama ni zaidi ya mara 2 kwa siku.
 
Limao unasugua kabla ya kwenda kuoga asubuhi na jioni ukitoka kuoga tumia antiperspirant deoderant stick zinasaidia kukuweka mkavu +kutokulowana jasho note:ukipata any chance ya kuoga oga hata kama ni zaidi ya mara 2 kwa siku

Ndani ya siku ngapi?
 
Jitahidi kwapa liwe Safi muda wote, shave kila baada ya wiki, yaani usiachie nywele zikajaa.
Sungua na ndimu +Colgate. Unakaa hata nusu saa unaoga, asubuhi na jioni.

Tumia anti pespirant hii inazuia jasho kutoka kwa kasi. Oga Mara kwa mara, usivae nguo chafu, iliyolowa na jasho. Ukiivaa tena huwez acha kutoa harufu. Fua nguo vizuri, hasa sehemu za kwapa. Hakikisha hainuki kabisa.
 
Kwa wale mnaotoka majasho ya kwapa kwa wingi bila break tumia hii dawa inaitwa Driclor. hii dawa inakata majasho ya kwapa na kubaki mkavu siku nzima. NB: Apply hii dawa kwapani pekee kwengine yaache majasho yatoke sababu ya afya.

stop-sweaty-armpits-1.jpg

140915-driclor-antiperspir.gulicka.jpg
 
√Oga mara kwa mara

√ shave vizuri

√Tumia deodorant

√Nenda hospital wakucheki kama una bacteria wanaoweza kusababisha hili tatizo watakupa antibacterial ya kupaka
 
kwa wale mnaotoka majasho ya kwapa kwa wingi bila break tumia hii dawa inaitwa Driclor. hii dawa inakata majasho ya kwapa na kubaki mkavu siku nzima. NB: apply hii dawa kwapani pekee kwengine yaache majasho yatoke sababu ya afya..
140915-driclor-antiperspir.gulicka.jpg
This is not good

Jasho ni lazima litoke..ule uchafu ukibaki ndani utaenda wapi??
 
This is not good

Jasho ni lazima litoke..ule uchafu ukibaki ndani utaenda wapi??

Ndo mana nikasema ipakwe kwapani tu kwengine paachwe jasho litoke. btw wanaotoka majasho ya kwapa hii dawa ni mkombozi kwao. hebu vuta picha mkuu upo na nguo za office alafu makwapa yanachora ramani kubwa hatari.
 
ndomana nikasema ipakwe kwapani tu kwengine paachwe jasho litoke. btw wanaotoka majasho ya kwapa hii dawa ni mkombozi kwao. hebu vuta picha mkuu upo na nguo za office alafu makwapa yanachora ramani kubwa hatari.
Naelewa ila makwapani ndo sehemu ambako jasho linatoka jingi sana,sasa ukiliblock linaenda wapi??..simply linabaki mwilini na inaweza kuwa chanzo cha breast cancer..

Na huyu jamaa ishu sio jasho jingi bali ni harufu kali..so deodorant ingekuwa poa tu

Anyway ataangalia risk and benefit mwenyewe
 
kwa wale mnaotoka majasho ya kwapa kwa wingi bila break tumia hii dawa inaitwa Driclor. hii dawa inakata majasho ya kwapa na kubaki mkavu siku nzima. NB: apply hii dawa kwapani pekee kwengine yaache majasho yatoke sababu ya afya..
140915-driclor-antiperspir.gulicka.jpg
Nimekuwa nikiisikia sana, hivi inapatikana hapa Bongo?
 
Inategemea na aina ya deodorant,tafuta deodorant inayoitwa shower to shower hiyo ukipaka mpaka jioni uko fresh nzuri sana
 
kwa wale mnaotoka majasho ya kwapa kwa wingi bila break tumia hii dawa inaitwa Driclor. hii dawa inakata majasho ya kwapa na kubaki mkavu siku nzima. NB: apply hii dawa kwapani pekee kwengine yaache majasho yatoke sababu ya afya.

140915-driclor-antiperspir.gulicka.jpg
Bei yake ni kiasi gani?​
Pharmacy gani inakopatikana kwa hapa dar?
 
Oga na shower jel za manukato ,paka deodorant kuna deodorant zinatoka nje zinauzwa 20 au 25 zinaitwa degree 48hrs
Oga kila Mara ,kunywaa majii mengi
 
Usipake deodorant ambayo inazuia jasho isitoke, kuwa msafi sana kunywa maji mengi,Fanya mazoezi usweat Sana oga kila maraaaa
Asante
Ila ungejua taabu tunazopata watu wenye hili tatizo, yaan ni bora hata nitumie hata kama ina madhara

Yaan ninaoga mara 2 mpaka mara 3 siku zingine, ila nikitoka kuoga dakika chache tu ninaisikia, nimejaribu deodorant wapi ndio zinatengeneza harufu nyingine mbaya

Ukitaka kujua yanayotukuta tunapochanganyikana na watu basi nenda kasome zile nyuzi zinazo wa diss watu wenye matatizo haya, yan kila mtu anakuchukia
So haina jinsi itabidi tu tuitafute hiyo hiyo
 
Asante
Ila ungejua taabu tunazopata watu wenye hili tatizo, yaan ni bora hata nitumie hata kama ina madhara

Yaan ninaoga mara 2 mpaka mara 3 siku zingine, ila nikitoka kuoga dakika chache tu ninaisikia, nimejaribu deodorant wapi ndio zinatengeneza harufu nyingine mbaya

Ukitaka kujua yanayotukuta tunapochanganyikana na watu basi nenda kasome zile nyuzi zinazo wa diss watu wenye matatizo haya, yan kila mtu anakuchukia
So haina jinsi itabidi tu tuitafute hiyo hiyo

Basi inabidi uende kwa daktari wa maswala ya ngozi mweleze kinaubaga utapata solution
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom