nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 1,940
- 1,254
Usifikiri kila mtu ni mtoto km weweKuna mtu anajiona wa Hadhi ya juu sana.
Hata salamu yake naongea kama unamlazimisha hivi, sauti kama anabana pua zote pozi za kujiona na Hadhi ya juu.
Sasa, Leo Mchana Kuna mpangaji nimeambiwa na Dalali anaingia kwenye kibanda Changu.
Nikamwambia atume tu pesa mkataba nitampitishia nikitoka Mishe mishe zangu.
Nafika pale nakutana na Yule mtu wa mapozi yaani, Nashangaa yule mtu kama pozi limemuisha
Kwa mshangao ananiuliza we ndo mwenye nyumba wangu.
Nikaona Bora ni mjibu" Hapana Mimi ni msimamizi tu, nyumba ya kaka yangu"
Kwa Nyodo na Dharau anazo zalau wenzie yule mtu, sio poa kwa kweli ila napenda sana watu tujifunze kueshimiana na kupendana na kutoa kua na dharau kwa wengine hata kama unamuona hana kitu usimzarau kwa kua wewe unakitu Fulani au una Mali.
Jambo la kujifunza kama mtu atakudharau mwache akudharau aliempa yeye ndo alie tunyima sisi.
Tulale sasaIla usi ogope, nita kulinda.
Sawa mchumba, ngoja nizime data kabisaβ€οΈTulale sasa
Eti kuna watu na viatu huyu ni kiatuHuo muda huwa mnautoa wapi? Mtu akiwa na pozi au asipokusalimia unapungukiwa nini?
Sa pozi na dharau zake we zinakuathiri niniHapana ndugu huyu mtu anapoz za Ajabu anajiona yeye Bora sana.
MUNGU ni MWEMA hapa nilipo ni kwema mpendwaAsante T 1990 ELY
Nadhani hapo pia ulipo ni kwema π
we ukidundwa vizuri utaongea tu utamsema na nani kakufundisha tabia yakutokuongea!Nilivyo mvivu kuongea mtu asiponisalimia ni good news
πππππWe tukioana nyumba itakua pambe sana,full kuchambua wote tulopishana nao mchana toka mahangaikoni
ππ umeanzawe ukidundwa vizuri utaongea tu utamsema na nani kakufundisha tabia yakutokuongea!
Huwa ukijisema kuwa we ni mpole huwa naangalia ID yako halafu nasema "dhambi ya uongo asipoiombea msamaha huyu dada basi itammalizia jehanam!"...πππ umeanza
Ni kweli ukimsalimia mara mbili amenyamaza na wewe unapotezea mazima hata mkikutana mlango wa chooniHuo muda huwa mnautoa wapi? Mtu akiwa na pozi au asipokusalimia unapungukiwa nini?
Hiii nimeilelewa ntapita nayo, maana Hawa Binadamu wa siku hizi Wanajiona keki.Ni kweli ukimsalimia mara mbili amenyamaza na wewe unapotezea mazima hata mkikutana mlango wa chooni
Huwa ukijisema kuwa we ni mpole huwa naangalia ID yako halafu nasema "dhambi ya uongo asipoiombea msamaha huyu dada basi itammalizia jehanam!"...π