johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Elon Musk: Nitaanzisha chama cha Siasa
Sio kwa nchi tena ?Paul Makonda atakuwa na msaada mkubwa sana kwa Daktari Samia.
Tujulishe mkuu, usijue peke yakoMngejua kiminyo cha jana, yajayo yanafurahisha
Too early haweziMakonda namuona kama anakuja kuja hivi
Sema neno nafsi yangu ipone mkuu 🙇🏽♀😁Mngejua kiminyo cha jana, yajayo yanafurahisha
KabisaWazee waliomshauri waziri wapewe nauli haraka waende dodoma kutoa ushauri tena.
Huyu jobho kakomaa na vijana nao wamekazia Uzi hadi yule alichapwa fimbo na Jamaa!Wazee waliomshauri waziri wapewe nauli haraka waende dodoma kutoa ushauri tena.
Dodoma wapo wawili. Wa kushauriwa.Huyu jobho kakomaa na vijana nao wamekazia Uzi hadi yule alichapwa fimbo na Jamaa!
Ana Baya moja Tu,lile la Njombe msikitini 🤣Safi, hapa kama ni usalama wamefanya jambo jema kumshauri...naye amefanye vyema kukubali sasa. Alinde heshima yake...anafaa agombee nafasi ya juu ama asigombee kabisa. Huwezi kuwa waziri mkuu kwa miaka zaidi ya kumi...akipata fursa ya kugombea uraisi hata Mimi nitampatia kura yangu na ndugu zangu nitawashawishi wampe kura ...hana baya mwamba
Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango makamu wa rais kuamua kupumzika siasa.
Makamu wa Rais Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, siasa basi naenda kuwa mkulima
View attachment 3391423
Na ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa waziri mkuu naye kuamua kupumzika siasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=x1OXBuo9sMg
Hakika mwaka huu 2025 viongozi wa juu kuamua kupumzika siasa, na kubakia bosi wao Dr. Samia Suluhu Hassan. Zile tetesi kuwa kuna mabadiiliko makubwa yanakuja
Je tutegemee pia mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano naye anaazima ya kuachia ngazi ndiyo maana ya kurefusha ukomo wa bunge had 03 Agosti 2025 bila kuelezwa sababu?
CCM MPYA CHINI YA UONGOZI MPYA KUONGOZA AJENGA YA NO REFORMS NO ELECTION
Kwa kuangalia kwa hali ya siasa Tanzania inaonesha uongozi wa juu kabisa kumekuwepo kutokukubaliana juu ya ajenda hii, na hivyo mmoja mmoja kuamua kuachia ngazi ili wote watatu wakipisha hoja za wanaotaka mabadiliko na kutoa nafasi uongozi mpya kuendesha mabadiliko.
Tumeona mwanadiplomasia, mwanasiasa aliyekulia ndani ya Umoja wa Vijana ya Nyerere, Mwingi, Mkapa na Kikwete siyo UVCCM ya Magufuli wala ya Dr. Samia Suluhu Hassan ambapo UVCCM hao chini ya awamu ya 5 na 6 wamekuwa vijana wahafidhina machawa wasiotaka mabadiliko na kuyazuia kwa siasa chafu.
Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango makamu wa rais kuamua kupumzika siasa.
Makamu wa Rais Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, siasa basi naenda kuwa mkulima
View attachment 3391423
Na ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa waziri mkuu naye kuamua kupumzika siasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=x1OXBuo9sMg
Hakika mwaka huu 2025 viongozi wa juu kuamua kupumzika siasa, na kubakia bosi wao Dr. Samia Suluhu Hassan. Zile tetesi kuwa kuna mabadiiliko makubwa yanakuja
Je tutegemee pia mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano naye anaazima ya kuachia ngazi ndiyo maana ya kurefusha ukomo wa bunge had 03 Agosti 2025 bila kuelezwa sababu?
CCM MPYA CHINI YA UONGOZI MPYA KUONGOZA AJENGA YA NO REFORMS NO ELECTION
Kwa kuangalia kwa hali ya siasa Tanzania inaonesha uongozi wa juu kabisa kumekuwepo kutokukubaliana juu ya ajenda hii, na hivyo mmoja mmoja kuamua kuachia ngazi ili wote watatu wakipisha hoja za wanaotaka mabadiliko na kutoa nafasi uongozi mpya kuendesha mabadiliko.
Tumeona mwanadiplomasia, mwanasiasa aliyekulia ndani ya Umoja wa Vijana ya Nyerere, Mwingi, Mkapa na Kikwete siyo UVCCM ya Magufuli wala ya Dr. Samia Suluhu Hassan ambapo UVCCM hao chini ya awamu ya 5 na 6 wamekuwa vijana wahafidhina machawa wasiotaka mabadiliko na kuyazuia kwa siasa chafu.
Makonda namuona kama anakuja kuja hivi
Wamejitokeza vijana zaidi ya 16!Huyu jobho kakomaa na vijana nao wamekazia Uzi hadi yule alichapwa fimbo na Jamaa!
Mananga kama wewe ndiyo mnaifanya Tanzania ibaki kuwa kama jalala. Huyu lofa anaweza kuwa rais wakati hata huo uwaziri ulikuwa siyo saizi yake?Safi, hapa kama ni usalama wamefanya jambo jema kumshauri...naye amefanye vyema kukubali sasa. Alinde heshima yake...anafaa agombee nafasi ya juu ama asigombee kabisa. Huwezi kuwa waziri mkuu kwa miaka zaidi ya kumi...akipata fursa ya kugombea uraisi hata Mimi nitampatia kura yangu na ndugu zangu nitawashawishi wampe kura ...hana baya mwamba
Kuhoji ni characteristic ya living binadamu🤣Watanzania wengine wanahoji kika kitu.
Wanahoji viongozi waking'ang'ania madaraka wasipotaka kustaafu.
Pia, viongozi wakiamua kustaafu, wanahoji.
Sidhani. Majaliwa asingeweza kuwa waziri mkuu kwa miaka 15. Halafu akaona akiwa mbunge wa kawaida ni kama atajidhalilisha.Mabakabaka wanataka wakipindua meza nusu Burundi aje kushikilia kiti kwa muda huku akisaidiwa na Diblo.