Inaitwa 'purge' mkakati wa dola kulazimisha viongozi waachie ngazi.
Purge : Usafishaji wa safu za juu kisiasa unarejelea kuondolewa kwa lazima au kuondolewa kwa watu wanaochukuliwa kuwa wasiohitajika kutoka kwa taasisi ya kisiasa, kama vile serikali au shirika, na wale walio mamlakani.
Hii inaweza kuhusisha hatua mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kunyongwa, kufungwa gerezani, uhamisho, au kuondolewa tu kutoka kwa nyadhifa za ushawishi.
Usafishaji mara nyingi hutekelezwa ili kuunganisha mamlaka, kuondoa wapinzani, au kutekeleza upatanifu wa kiitikadi.
Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango makamu wa rais kuamua kupumzika siasa.
Makamu wa Rais Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, siasa basi naenda kuwa mkulima
Na ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa waziri mkuu naye kuamua kupumzika siasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=x1OXBuo9sMg
Hakika mwaka huu 2025 viongozi wa juu kuamua kupumzika siasa, na kubakia bosi wao Dr. Samia Suluhu Hassan. Zile tetesi kuwa kuna mabadiiliko makubwa yanakuja
Je tutegemee pia mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano naye anaazima ya kuachia ngazi ndiyo maana ya kurefusha ukomo wa bunge had 03 Agosti 2025 bila kuelezwa sababu?
CCM MPYA CHINI YA UONGOZI MPYA KUONGOZA AJENDA YA NO REFORMS NO ELECTION
Kwa kuangalia kwa hali ya siasa Tanzania inaonesha uongozi wa juu kabisa kumekuwepo kutokukubaliana juu ya ajenda hii, na hivyo mmoja mmoja kuamua kuachia ngazi ili wote watatu wakipisha hoja za wanaotaka mabadiliko na kutoa nafasi uongozi mpya kuendesha mabadiliko.
Tumeona mwanadiplomasia, mwanasiasa aliyekulia ndani ya Umoja wa Vijana ya Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete siyo UVCCM ya John Pombe Magufuli wala ya Dr. Samia Suluhu Hassan ambapo UVCCM hao chini ya awamu ya 5 na 6 wamekuwa vijana wahafidhina machawa wasiotaka mabadiliko, waendekeza siasa za kibabe na kuchagua siasa chafu.
UTITIRI WA WAKUU WA MIKOA, MA-DC ambao ni wahafidhina, walazimishwa kuchukua FOMU za ubunge, waondoke kwenye mhimili wa dola :
Photo : Paul C. Makonda
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mahafidhina, legasi ya awamu ya 5 na 6 ambao kupitia kofia zao nyingi za kiuongozi kama wenyeviti wa Kamati za Siasa , Ulinzi na Usalama wanaonekana kuwa wanaweza kuwa kikwazo kwa dola kuongoza mabadiliko, hivyo waoneshwa mlango wa kutoka kupisha mabadiliko kwa kuambiwa wakagombee ubunge kwenye mhimili bunge usio wa dola.
NINI KIMEFANYA CHAMA KONGWE KUJITATHMINI NA KUFANYA MAGEUZI NDANI YA MFUMO, ILI KIWEZE KUBAKI MADARAKANI
www.jamiiforums.com
Uchaguzi wa mwaka jana nchini Mozambique (2024) ambapo chama rafiki cha CCM chama cha FRELIMO kiliamua kutoka kwenye utaratibu wa mazowea na kumteua Daniel Chapo kuwa mgombea, kada aliyetoka nje ya MFUMO uliozeeleka .
CCM baada ya kujithamini kutokana na wimbi kubwa la kudai mabadiliko ndani ya chama, na pia kutoka nje kwa watanzania wasio wana CCM imeona sasa ijivue 'gamba' kiukweli ingawa 'mnyama' huyu atabaki yuleyule katika muonekano mpya wa ari ya kupenda mahitaji ya umma wa waTanzania wa kipindi cha sasa.
HALI HALISI NDANI YA CHAMA KONGWE
View: https://m.youtube.com/watch?v=jMSRjSDTZvk
mazungumzo haya yaliyonaswa ni miongoni ya mazungumzo mengi yanayoendelea katika vijiwe, minada, magulio, mwalo na pwani za uvuvi, sokoni na katika majumuiko ya watanzania.
Hapo utasikia raia bila kujali vyama vyao vya kisiasa wakioneshwa kutoridhishwa na mengi yanaendelea katika siasa, usalama, uchumi, haki na maendeleo ya watu
Bila kusahau watu wasiojulikana wanaoonekana, kuwakera viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama kwani wasiojulikana wamekuwa nje ya mfumo rasmi wa vyombo hivyo.
Vikundi hivyo tayari vinaweza kutishia usalama wa nchi kwa kuonekana kuwa na nguvu kuliko vyombo rasmi vinavyo tambulikana kikatiba
Purge : Usafishaji wa safu za juu kisiasa unarejelea kuondolewa kwa lazima au kuondolewa kwa watu wanaochukuliwa kuwa wasiohitajika kutoka kwa taasisi ya kisiasa, kama vile serikali au shirika, na wale walio mamlakani.
Hii inaweza kuhusisha hatua mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kunyongwa, kufungwa gerezani, uhamisho, au kuondolewa tu kutoka kwa nyadhifa za ushawishi.
Usafishaji mara nyingi hutekelezwa ili kuunganisha mamlaka, kuondoa wapinzani, au kutekeleza upatanifu wa kiitikadi.
A political purge refers to the forced removal or elimination of individuals considered undesirable from a political entity, such as a government or organization, by those in power. This can involve various measures, including execution, imprisonment, exile, or simply removal from positions of influence. Purges are often implemented to consolidate power, eliminate rivals, or enforce ideological conformity.
Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango makamu wa rais kuamua kupumzika siasa.
Makamu wa Rais Dr. Philip Isidori Nzabhayanga Mpango, siasa basi naenda kuwa mkulima
Na ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa waziri mkuu naye kuamua kupumzika siasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=x1OXBuo9sMg
Hakika mwaka huu 2025 viongozi wa juu kuamua kupumzika siasa, na kubakia bosi wao Dr. Samia Suluhu Hassan. Zile tetesi kuwa kuna mabadiiliko makubwa yanakuja
Je tutegemee pia mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano naye anaazima ya kuachia ngazi ndiyo maana ya kurefusha ukomo wa bunge had 03 Agosti 2025 bila kuelezwa sababu?
CCM MPYA CHINI YA UONGOZI MPYA KUONGOZA AJENDA YA NO REFORMS NO ELECTION
Kwa kuangalia kwa hali ya siasa Tanzania inaonesha uongozi wa juu kabisa kumekuwepo kutokukubaliana juu ya ajenda hii, na hivyo mmoja mmoja kuamua kuachia ngazi ili wote watatu wakipisha hoja za wanaotaka mabadiliko na kutoa nafasi uongozi mpya kuendesha mabadiliko.
Tumeona mwanadiplomasia, mwanasiasa aliyekulia ndani ya Umoja wa Vijana ya Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete siyo UVCCM ya John Pombe Magufuli wala ya Dr. Samia Suluhu Hassan ambapo UVCCM hao chini ya awamu ya 5 na 6 wamekuwa vijana wahafidhina machawa wasiotaka mabadiliko, waendekeza siasa za kibabe na kuchagua siasa chafu.
UTITIRI WA WAKUU WA MIKOA, MA-DC ambao ni wahafidhina, walazimishwa kuchukua FOMU za ubunge, waondoke kwenye mhimili wa dola :
Photo : Paul C. Makonda
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mahafidhina, legasi ya awamu ya 5 na 6 ambao kupitia kofia zao nyingi za kiuongozi kama wenyeviti wa Kamati za Siasa , Ulinzi na Usalama wanaonekana kuwa wanaweza kuwa kikwazo kwa dola kuongoza mabadiliko, hivyo waoneshwa mlango wa kutoka kupisha mabadiliko kwa kuambiwa wakagombee ubunge kwenye mhimili bunge usio wa dola.
NINI KIMEFANYA CHAMA KONGWE KUJITATHMINI NA KUFANYA MAGEUZI NDANI YA MFUMO, ILI KIWEZE KUBAKI MADARAKANI
Hatimaye FRELIMO iko matatani, mwisho wake umefika!
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane...
CCM baada ya kujithamini kutokana na wimbi kubwa la kudai mabadiliko ndani ya chama, na pia kutoka nje kwa watanzania wasio wana CCM imeona sasa ijivue 'gamba' kiukweli ingawa 'mnyama' huyu atabaki yuleyule katika muonekano mpya wa ari ya kupenda mahitaji ya umma wa waTanzania wa kipindi cha sasa.
HALI HALISI NDANI YA CHAMA KONGWE
MWENYEKITI CCM WILAYA ANASWA AKIMTETA MWENYEKITI WA TAIFA, MWENYEWE ARUKA MITA MIA"
View: https://m.youtube.com/watch?v=jMSRjSDTZvk
mazungumzo haya yaliyonaswa ni miongoni ya mazungumzo mengi yanayoendelea katika vijiwe, minada, magulio, mwalo na pwani za uvuvi, sokoni na katika majumuiko ya watanzania.
Hapo utasikia raia bila kujali vyama vyao vya kisiasa wakioneshwa kutoridhishwa na mengi yanaendelea katika siasa, usalama, uchumi, haki na maendeleo ya watu
Bila kusahau watu wasiojulikana wanaoonekana, kuwakera viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama kwani wasiojulikana wamekuwa nje ya mfumo rasmi wa vyombo hivyo.
Vikundi hivyo tayari vinaweza kutishia usalama wa nchi kwa kuonekana kuwa na nguvu kuliko vyombo rasmi vinavyo tambulikana kikatiba