Spalulu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 283
- 146
Habari zenu wana jf, mmekuwa msaada kwangu kwa mengi sana. Sasa leo tena unisaidie kwa hili, hivi kunenepa mikono zaidi au miguu nini kisababishi? Na nini suluhisho lake? Hasa mikono wadau. Nimeona wadada wengi wana maumbile hayo.
Utamuona ana umbo la kawaida sehemu zingine lkn mikono ni zaidi. Mimi huwa sipendi hali hii. Najua kwamba kwa wanawake uzito ukizidi makalio huongezeka zaidi na kwa wanaume vitambi. Sasa hili la mikono inakuwaje? Msaada wenu tafadhalini. Am serious. Sitaki utani.
Jingine ni hili, mazoezi gani yanafaa ili kukaza misuli ya mikono? Yaani zile nyama za mikono zinazolegeea! Sizipendi mimi. Asanteni.
Nategemea mazuri toka kwenu
Utamuona ana umbo la kawaida sehemu zingine lkn mikono ni zaidi. Mimi huwa sipendi hali hii. Najua kwamba kwa wanawake uzito ukizidi makalio huongezeka zaidi na kwa wanaume vitambi. Sasa hili la mikono inakuwaje? Msaada wenu tafadhalini. Am serious. Sitaki utani.
Jingine ni hili, mazoezi gani yanafaa ili kukaza misuli ya mikono? Yaani zile nyama za mikono zinazolegeea! Sizipendi mimi. Asanteni.
Nategemea mazuri toka kwenu