Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Graduates hawana ajira,hali ngumu,democracy,human rights,watumishi wa umma hakuna nyongeza kwa miaka mitano,uhuru wa mahakama,
Niendelee ?
MJIFUNZE SIO KILA GRADUATES AAJIRIWE HIZO MYUMBA ZENU ZINGEKUWA OFISI ZA SERIKALI NDIO MAANA MNAMDA MCHAFU KUDANGANYA WATU MPATE POSHO KWENYE UCHAGUZI KWIKWIKWIO
PAMBANENI NA HALI ZENU
WALIOWAPA MDOMO NDIO WAAWAPA CHAKULA
 
Ulipoandika ni kundi la graduates, nikaelewa una digrii fulani, lakini niliposoma unavyoandika na kupangilia maneno, sioni usomi wako. Bado unadai ulistahili ukafundishe sekondari badara ya msingi, kwa elimu ipi?
Tulikimbilie kutanja digrii na diploma tu, tuangalie na uelewa wetu. Elimu siyo vyeti ni ufahamu wetu.
 
Lazia. Utangoja sana utawala huu ubadilike na hiyo haki unayoitaka haitakuwepo. Utakuwa frustrated. Nakuhakikishia hilo halitakaa litokee. Fanya kazi jenga maisha yako. Usitegemee CHADEMA ibadili mambo, haiwezi. Tundu hawezi kuwa raisi. Hilo halitotokea. Haitasimama bendera tofauti na ya kijani kwenye uraisi mpaka unazeeka.
 
Yaani hawa watu wanaobeza hivi sijui Wana roho gani. Just imagine baba kastaafu hiyo October 2017, huu ni mwaka wa pili na kidogo, ameparalaizi upande mmoja mkono na mguu. Kwasasa anahudhuria clinic ya BP na mazoezi (physiotherapy) kwa mwezi mara moja, na bado hajapata mafao yake.
Mkuu wa nchi anagawa hela yu kwenye ziara zake huku mzee wangu aliyetumikia umma kwa mda wote huo hajalipwa hata shilingi Mia.
 
Usiwasemee watu. Kaka yangu alistaafu tangu August 2016 bahati mbaya akafariki February 2017. Tulifuatilia mafao for 3 years yamelipwa June 2020. Usitutie hasira watu tulioathirika na hii system kenge wewe!!!!
Watu wanatetea ujinga humu, hawajui mateso wanayopitia wastaafu. Huruma Sana.
 

Badara#Badala
Tulikimbilie#Tusikimbilie
Kutanja#kutaja

Hata kiswahili hukijui, mfyuuuu!
 
Yaani Lissu wakijipanga kumalizana nae ni swala jepesi sana anadai Magufuli katoa rushwa na ushahidi anao na CDM wanashangilia.

Hivi Magufuli kaanza kutoa hela barabarani jana au kuchangisha watu kwa sababu ya shule, amekuwa akifanya ivyo karibu katika kipindi chote cha miaka mitano na bado muda wake kama raisi aujakoma.

Sasa utaitaje rushwa alichofanya Kibiti kitu ambacho amekuwa akikifanya kilasiku anaposimama kuongea na wananchi tena Lissu anajitapa huo ndio ushahidi wake.

This guy is a joke hoja zake ni nyepesi mno, anavyoongea utadhani yeye na raisi wa nchi wana mamlaka sawa sawa wakati ata form za kugombea uraisi azijatolewa bado.

Hivi kuna kesi gani kubwa ambayo Lissu amewahi kushinda? Anyone.
 
Mpewe loan
Mpewe na AJIRA
Si mtaomba mpewe na wake kabisa
Graduates hawana ajira,hali ngumu,democracy,human rights,watumishi wa umma hakuna nyongeza kwa miaka mitano,uhuru wa mahakama,
Niendelee ?
 
Usijibishane nao wala usijifananishe Naoo haya n maandiko
 
Huu ndio muda ambao ccm watashangaa maana hawataamini kura watakazopewa na wananchi...wengi wana hasira kuanzia familia za waliotumbuliwa kwa uonevu
Mbona waliyotumbuliwa wengi tu wamegombea udiwani na ubunge kupitia ccm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…