BABA NI CCM
Member
- Nov 24, 2018
- 86
- 98
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ndugu zangu wachaga 'shimbon'yi'. Si lengo kuzusha ukabila hapa la hasha ni salamu tu kwa nia njema ya kuwakaribisha ndugu zangu watanzania wenzetu kutoka uchagani walioamua kubisha hodi na kuomba kujiunga na chama makini kinachompambania mnyonge wa taifa hili popote alipo Chama Cha Mapinduzi, CCM.
Habari za kundi kubwa wa viongozi na wanachama wenye ushawishi ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla kutaka kujiunga na CCM kupitia matawi ya mikoa wanapotokea zimezidi kuenea na hivi karibuni zitalipuka na kuacha pigo kubwa upinzani. Wapo viongozi na washirika wenye ushawishi kuanzia vijana, wakinamama hadi wazee wanaofuatilia namna ya kujiunga na CCM tunasema Karibuni ndugu zetu karibuni tulisukume gurudumu la maendeleo mbele zaidi.
Mnaweza kujiunga na CCM kwa njia rahisi kabisa lakini niwakumbushe CCM hatuitaji watu wasio na mapenzi mema na taifa, chama na serikali kwa ujumla, CCM tunaamini katika misingi iliyo kwenye katiba na kanuni zetu za jumuiya, CCM tunaamini utii wa sheria za nchi na zile za kimataifa, CCM tunaamini ili mtanzania aweze kuendelea ni lazima tumkomboe kifikra kwa kumpa elimu bure, kiuchumi kwa kumjengea mazingira rafiki, kupambana na maradhi kwa kuhakikisha dawa zinapatikana hospitalini.
Karibuni CCM, karibuni nyumbani kimenoga.
Wasalimu Lumumba
Ni mimi mtoto wa Baba
Ndugu zangu wachaga 'shimbon'yi'. Si lengo kuzusha ukabila hapa la hasha ni salamu tu kwa nia njema ya kuwakaribisha ndugu zangu watanzania wenzetu kutoka uchagani walioamua kubisha hodi na kuomba kujiunga na chama makini kinachompambania mnyonge wa taifa hili popote alipo Chama Cha Mapinduzi, CCM.
Habari za kundi kubwa wa viongozi na wanachama wenye ushawishi ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla kutaka kujiunga na CCM kupitia matawi ya mikoa wanapotokea zimezidi kuenea na hivi karibuni zitalipuka na kuacha pigo kubwa upinzani. Wapo viongozi na washirika wenye ushawishi kuanzia vijana, wakinamama hadi wazee wanaofuatilia namna ya kujiunga na CCM tunasema Karibuni ndugu zetu karibuni tulisukume gurudumu la maendeleo mbele zaidi.
Mnaweza kujiunga na CCM kwa njia rahisi kabisa lakini niwakumbushe CCM hatuitaji watu wasio na mapenzi mema na taifa, chama na serikali kwa ujumla, CCM tunaamini katika misingi iliyo kwenye katiba na kanuni zetu za jumuiya, CCM tunaamini utii wa sheria za nchi na zile za kimataifa, CCM tunaamini ili mtanzania aweze kuendelea ni lazima tumkomboe kifikra kwa kumpa elimu bure, kiuchumi kwa kumjengea mazingira rafiki, kupambana na maradhi kwa kuhakikisha dawa zinapatikana hospitalini.
Karibuni CCM, karibuni nyumbani kimenoga.
Wasalimu Lumumba
Ni mimi mtoto wa Baba