Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,407 May 20, 2017 #21 Hata JF haiwezi kuwa na rahaa bila mapenzi!....... believe me!
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,232 142,033 May 20, 2017 #22 Yanafurhaisha sana... Na... Yanachukiza yakienda vibaya... Karibia majambo yako/kila kitu tunafanya kwa ajili ya mapenzi au kwa sababu ya mapenzi... Mapenzi ni mazuri sana ukimpata mnaeendana... Na ni mabaya sana ukimpata msiyoendana... smart911 and mahondaw kila siku na kama sikukuu kwa jinsi tunavyopendana... Cc: mahondaw
Yanafurhaisha sana... Na... Yanachukiza yakienda vibaya... Karibia majambo yako/kila kitu tunafanya kwa ajili ya mapenzi au kwa sababu ya mapenzi... Mapenzi ni mazuri sana ukimpata mnaeendana... Na ni mabaya sana ukimpata msiyoendana... smart911 and mahondaw kila siku na kama sikukuu kwa jinsi tunavyopendana... Cc: mahondaw