concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 1,413
- 1,763
Ukifuatilia matukio yanayoendelea sasa hivi Tanzania ni wazi kuna sehemu ndani ya ofisi zetu nyeti tumewekewa pandikizi ili uchumi wetu uyumbe kwa manufaa ya maendeleo ya nchi nyingine.
Ukifuatilia kuanzia matukio ya uuzaji wa mahindi, madini na hapo juzi tu korosho, ni wazi kuna nia ya dhati kuifilisi nchi yetu na isiweze inuka tena.
Ukienda zambia, Mozambique ,Congo na nchi kadhaa zinazotuzunguka idadi ya wafanyabiashara wanaohamia huko toka tanzania ni ya kutisha, sana.
Kwa mfano mji wa pemba nchini Msumbiji kwa mwaka jana nimeshuhudia zaid wafanyabiashara 20 ambao nilikuwa nawajua kariakoo wakifungua frame na wengine kupitiliza mpaka nampula na miji mingine.
Funika ni zambia, kuna watu kama watatu waliokuwa wanaingiza mizigo ya kutisha wamehamia zambia na wanakula bata na biashara sasahivi inalipa zaid hata walipokuwa Kariakoo.
Kwa sababu kule hakuna yale masuala ya kununua nguo 20 niuze 21 nipate faida ya 1. Kule nikinunua 20 nauza 25 faida ya kufa mtu na hakuna masuala ya tra kufuatiliana.
Tukija kwenye suala linaloendelea la bureau de change, bila siri hapa kuna ujambazi unaendelea kwa sababu.
Kama kweli ni kudhibiti kwanini
Wabebe pesa na kusiwe na kuandikishana
Kwanin camera zibebwe na wahahusika wataka kuficha ni?
Kwanini polisi wahusike kwenye haya masuala, kama ni hivyo hata kipind watu tra wanapokuja dai kodi watumwe na wanajeshi kuja kukusanya.
Kwanini iwe vuruuvaraa wakati ni mwaka juzi tu wamepitisha sheria mpya ya uendeshaji wa haya maduka?
Ukifuatilia kuanzia matukio ya uuzaji wa mahindi, madini na hapo juzi tu korosho, ni wazi kuna nia ya dhati kuifilisi nchi yetu na isiweze inuka tena.
Ukienda zambia, Mozambique ,Congo na nchi kadhaa zinazotuzunguka idadi ya wafanyabiashara wanaohamia huko toka tanzania ni ya kutisha, sana.
Kwa mfano mji wa pemba nchini Msumbiji kwa mwaka jana nimeshuhudia zaid wafanyabiashara 20 ambao nilikuwa nawajua kariakoo wakifungua frame na wengine kupitiliza mpaka nampula na miji mingine.
Funika ni zambia, kuna watu kama watatu waliokuwa wanaingiza mizigo ya kutisha wamehamia zambia na wanakula bata na biashara sasahivi inalipa zaid hata walipokuwa Kariakoo.
Kwa sababu kule hakuna yale masuala ya kununua nguo 20 niuze 21 nipate faida ya 1. Kule nikinunua 20 nauza 25 faida ya kufa mtu na hakuna masuala ya tra kufuatiliana.
Tukija kwenye suala linaloendelea la bureau de change, bila siri hapa kuna ujambazi unaendelea kwa sababu.
Kama kweli ni kudhibiti kwanini
Wabebe pesa na kusiwe na kuandikishana
Kwanin camera zibebwe na wahahusika wataka kuficha ni?
Kwanini polisi wahusike kwenye haya masuala, kama ni hivyo hata kipind watu tra wanapokuja dai kodi watumwe na wanajeshi kuja kukusanya.
Kwanini iwe vuruuvaraa wakati ni mwaka juzi tu wamepitisha sheria mpya ya uendeshaji wa haya maduka?