MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Without bias.
Hivi ndugu zangu hili la mwanafunzi kupata "A" katika mitihani yake ya kidato cha sita; Anajiunga na chuo kikuu na ukimuuliza ni maswali kuhusu masomo hayo anakuwa hajui kitu hivi huko mashuleni kuna nini?
Mwanafunzi kapata "A" ya History unamuuliza habu linganisha kati ya Marxism na Ujamaa wa Tanzania anashindwa. Kibaya zaidi hata ujamaa hajui ni nini.Watoto wanasoma Private za gharama na ufaulu mkubwa lakini inakuwa shida sana kuelewa wamesoma nini kweli kwa muda wote.
Mwingine anasoma Sheria chuo kama Dar es salaam, Mzumbe au SAUT unamwambia andika proper legal essay inawasumbua sana.
Kuna binti moja katoka kusoma shule fulani ya gharama na kapata ufaulu wa "A" kwenye somo la lugha lakini unamwambia unaruhusiwa kuanza na "BUT" na "AND'' kwenye sentensi anakwambia siyo sahihi.SERIOUSLY?
Kuna jamaa yangu moja anafundisha PSPA UDSM aliniambia siku hizi ndiyo anajaribu kusoma kuwaambia wanafunzi wasome materials tofauti.Wanafunzi wengi Wanaifahamu historia ya Africa katika minajili ya MARXISM tu as an influential ideology in Africa.
Watazungumzia Influence of Christianity and Islam; but is that SO?Everything is imported. Even Philosophy.
Mbona zamani watu walikuwa wanajua vitu vingi jamani?
Mwanafunzi wa PSPA, BA, LLB or JD or whatever walikuwa wanajua vitu?
Inaleta shida unakuta lecturer anaanza kufundisha upya tena mambo ambayo mwanafunzi angetakiwa ayasome sekondari.
East Africa na Central mbona wanafunzi wetu walikuwa wanaaminika kweli. Sasa kwa mwendo huu hadi inasikitisha.Hawa watoto kesho ndiyo tutawangalia kama majudge; wanauchumi; madaktari; wanasiasa; wanausalama wetu; wanadiplomasia na n.k
Sasa hivi tatizo linakuwa nini hadi watoto wanakuwa hivi?
Je, ni walimu?
Je, ni wazazi?
Je, ni jamii nzima?
Je, Serikali yetu (WIZARA YA ELIMU)
AU ni watoto wenyewe wameharibiwa na UTANDAWAZI kama tunavyosema?
Hivi ndugu zangu hili la mwanafunzi kupata "A" katika mitihani yake ya kidato cha sita; Anajiunga na chuo kikuu na ukimuuliza ni maswali kuhusu masomo hayo anakuwa hajui kitu hivi huko mashuleni kuna nini?
Mwanafunzi kapata "A" ya History unamuuliza habu linganisha kati ya Marxism na Ujamaa wa Tanzania anashindwa. Kibaya zaidi hata ujamaa hajui ni nini.Watoto wanasoma Private za gharama na ufaulu mkubwa lakini inakuwa shida sana kuelewa wamesoma nini kweli kwa muda wote.
Mwingine anasoma Sheria chuo kama Dar es salaam, Mzumbe au SAUT unamwambia andika proper legal essay inawasumbua sana.
Kuna binti moja katoka kusoma shule fulani ya gharama na kapata ufaulu wa "A" kwenye somo la lugha lakini unamwambia unaruhusiwa kuanza na "BUT" na "AND'' kwenye sentensi anakwambia siyo sahihi.SERIOUSLY?
Kuna jamaa yangu moja anafundisha PSPA UDSM aliniambia siku hizi ndiyo anajaribu kusoma kuwaambia wanafunzi wasome materials tofauti.Wanafunzi wengi Wanaifahamu historia ya Africa katika minajili ya MARXISM tu as an influential ideology in Africa.
Watazungumzia Influence of Christianity and Islam; but is that SO?Everything is imported. Even Philosophy.
Mbona zamani watu walikuwa wanajua vitu vingi jamani?
Mwanafunzi wa PSPA, BA, LLB or JD or whatever walikuwa wanajua vitu?
Inaleta shida unakuta lecturer anaanza kufundisha upya tena mambo ambayo mwanafunzi angetakiwa ayasome sekondari.
East Africa na Central mbona wanafunzi wetu walikuwa wanaaminika kweli. Sasa kwa mwendo huu hadi inasikitisha.Hawa watoto kesho ndiyo tutawangalia kama majudge; wanauchumi; madaktari; wanasiasa; wanausalama wetu; wanadiplomasia na n.k
Sasa hivi tatizo linakuwa nini hadi watoto wanakuwa hivi?
Je, ni walimu?
Je, ni wazazi?
Je, ni jamii nzima?
Je, Serikali yetu (WIZARA YA ELIMU)
AU ni watoto wenyewe wameharibiwa na UTANDAWAZI kama tunavyosema?